Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
yaani hata kuandika tu hujui unaweza kuwa na akili kweli ya kuelewa vitu vyepesi kama hivi? ukuon maana yake nini? gorikipa ndo nani?Una
Unajifanya kama ukuona gorikipa alivyokuwa ana mulikwa
manara anawakera wasio na akili.. simba walishampuuza muda mrefu walipogundua anataka aende choo kupitia jina la simba. hawahangaiki naye kabisa.. yupo wapi sasa?Ni bora kukerwa na Jambo la tochi kuliko kukerwa na maneno ya press conference ya manara na mashabiki wa utopolo kama Simba angefungwa hii mechi.
Na hakuna timu isiyofanya figisu nyumbani.
Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Mkuu, ushindi wa Simba UMEKUKERA eeeeh!!? Ramba limao!
mimi akili ninazo sema tu sometimes nikikaa sana na wenzangu najisahau nakuwa kama wao. naelewa mpira na napenda mpiraNi wewe Mkuu au mwingine? Asante umetoa somo na si lazima walielewe hilo.
Wajinga wanapenda kupata shida kwa vitu ambavyo haviwasaidii
Poleee utopolo ha haHata kama ndugu yangu. Mimi ni Simba lakini jambo lile lilinikera sana. Tumeonesha ushamba wa hali ya juu. Halafu aliyefanya hivyo ni mzee kama mimi. Aibu sana yaani.
Hakuna kosa, kungekua na tatizo CAF na FIFA wangeshapiga marufuku, tuache to nag vitu ambavyo having athari yeyoteTangu lini kosa likahalalisha kosa jingine. Ninyi ndio mnataka kuharibu sifa nzuri ya mpira wa simba kwa kushabikia upumbavu.
Hakuna Simba wa hovyo kama wewe,mwanga wa hiyo redio ya huyo baba inafika hata mita 5? halafu Simba gani hajui kama huo mwanga unamezwa na taa za uwanjani? unashindwa hata kutofautisha mbwembwe na fans na hujuma
Unamaanisha sio ujinga Ila Mimi nauita ujinga?
Hakufungwa kutokana na kumulikwa,lakin wale wenye vitochi wameutia doa ushindi wa simbaKwa hiyo tochi ndo zilifanya afungwe? Kwa mfano goli gani
Hiki kizee kinaonekana kichawiNi ujinga wa kumulika wachezaji wa timu pinzani na tochi usoni, sijui soka la Afrika linaelekea wapi.. Timu haziwezi kushinda bila figisu?
View attachment 2174877
View attachment 2174878
Ni ujinga wa kumulika wachezaji wa timu pinzani na tochi usoni, sijui soka la Afrika linaelekea wapi.. Timu haziwezi kushinda bila figisu?
View attachment 2174877
View attachment 2174878