Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nao ni ushauri, lakini siwezi nikaufanyia kazi.Kunywa nyingi kabisa
ukipata pesa kunywa tena
ukifukuzwa kazi ukipata kazi nyingine nenda umelewa
ukifika toroka kazini nenda kalewe
ukitoka kazini kalewe yani wewe kunywa mpaka pombe zikuogope zenyewe hapo utaacha
Kwa kuwa ni ngumu kuacha kwa mara moja Anza kupunguza idadi ya chupa za Pombe.Habari zenu ndugu zangu,
Nimekuwa nikipambana na tatizo la kunywa pombe kupita kiasi kwa muda mrefu. Nilianza kama njia ya kupumzisha akili, lakini sasa imekuwa janga kubwa.
Nimepoteza kazi yangu, mahusiano yangu na familia yameharibika, na afya yangu imekuwa mbaya. Ninajisikia hatia sana! Tamaa yangu nikurejesha maisha yangu ya hapo awali.
Naomba msaada wenu wote ili niweze kushinda vita hii dhidi ya pombe. Ninatafuta ushauri juu ya jinsi ya kuacha kunywa na kujenga tena maisha yangu.
Ninaamini kwamba kwa msaada wenu, nitaweza kushinda uraibu huu na kuwa mtu bora zaidi. Asante sana kwa ushirikiano wenu.
[emoji1787] Siku nzima nimeshinda kitandani kisa pombe nimepatia nafuu jioni hii.Mkuu pole sana, Njoo hapa Kill Time Bar tukuelekeze jinsi ya kuacha pombe.
Wote walioamua kuipa pombe uwezo na nguvu ya kuamua mda na wakati wa kuwapumzishia akili, wapo nyumba za rehabilitationHabari zenu ndugu zangu,
Nimekuwa nikipambana na tatizo la kunywa pombe kupita kiasi kwa muda mrefu. Nilianza kama njia ya kupumzisha akili, lakini sasa imekuwa janga kubwa.
Nimepoteza kazi yangu, mahusiano yangu na familia yameharibika, na afya yangu imekuwa mbaya. Ninajisikia hatia sana! Tamaa yangu nikurejesha maisha yangu ya hapo awali.
Naomba msaada wenu wote ili niweze kushinda vita hii dhidi ya pombe. Ninatafuta ushauri juu ya jinsi ya kuacha kunywa na kujenga tena maisha yangu.
Ninaamini kwamba kwa msaada wenu, nitaweza kushinda uraibu huu na kuwa mtu bora zaidi. Asante sana kwa ushirikiano wenu.
Nenda sober mwanangu kuna dawa na psychological assistance utapataHii ndo kitu inanisumbua mkuu.
Mlevi unaandika vizuri hivi wewe sio mlevi, ungeandika kilevilevi ningekuelewa ila hivi ulivyoandika wewe sio mlevi kabisa wewe mnywajiNaomba msaada wenu wote ili niweze kushinda vita hii dhidi ya pombe. Ninatafuta ushauri juu ya jinsi ya kuacha
VzrNao ni ushauri, lakini siwezi nikaufanyia kazi.
Mpe Yesu maisha yako, yeye anao uwezo wa kuondoa kiu ya pombe iliyopo ndani yako.Habari zenu ndugu zangu,
Nimekuwa nikipambana na tatizo la kunywa pombe kupita kiasi kwa muda mrefu. Nilianza kama njia ya kupumzisha akili, lakini sasa imekuwa janga kubwa.
Nimepoteza kazi yangu, mahusiano yangu na familia yameharibika, na afya yangu imekuwa mbaya. Ninajisikia hatia sana! Tamaa yangu nikurejesha maisha yangu ya hapo awali.
Naomba msaada wenu wote ili niweze kushinda vita hii dhidi ya pombe. Ninatafuta ushauri juu ya jinsi ya kuacha kunywa na kujenga tena maisha yangu.
Ninaamini kwamba kwa msaada wenu, nitaweza kushinda uraibu huu na kuwa mtu bora zaidi. Asante sana kwa ushirikiano wenu.
Kitu Cha kwanza, badirisha marafiki. Jitahidi uwe na marafiki wasiokunywa pombe. Kisha Anza kuutafuta usu wa Mungu. Mimi hizi mbinu zilinisaidia sana kipindi nalewa nikiwa Karagwe.Habari zenu ndugu zangu,
Nimekuwa nikipambana na tatizo la kunywa pombe kupita kiasi kwa muda mrefu. Nilianza kama njia ya kupumzisha akili, lakini sasa imekuwa janga kubwa.
Nimepoteza kazi yangu, mahusiano yangu na familia yameharibika, na afya yangu imekuwa mbaya. Ninajisikia hatia sana! Tamaa yangu nikurejesha maisha yangu ya hapo awali.
Naomba msaada wenu wote ili niweze kushinda vita hii dhidi ya pombe. Ninatafuta ushauri juu ya jinsi ya kuacha kunywa na kujenga tena maisha yangu.
Ninaamini kwamba kwa msaada wenu, nitaweza kushinda uraibu huu na kuwa mtu bora zaidi. Asante sana kwa ushirikiano wenu.
Ameomba ushauri. Kama huna la kushauri unapiga kimya. If is true amepoteza kazi, familia, afya na heshima. Hizo pesa zinamsaidia nini ?Sasa kama pesa ya kunywa pombe nyingi ipo shida iko wapi?
Huo ushauri ndio utafanya kazi!Ushauri wa hovyo. Unamtaka aruke tope akanyage kinyesi
Jambo la kwanza mtegemee Mungu. Pili acha marafiki wote mara moja, tatu nenda kwa wataalam wa afya ya akili. Nne kunywa vimiminika tofauti wakati unahisi kiu, kama maji, maziwa tangawizi na mchai chai. Tano soma vitabu vya kiroho au Biblia ama Quran kulingana na Imani yako. Sita usikose ibada kama ni Jumapili, au msabato jumamosi au ijumaa kama ni muislam. Saba na mwisho lala usingizi wa kutosha zaidi ya 8 hours.Habari zenu ndugu zangu,
Nimekuwa nikipambana na tatizo la kunywa pombe kupita kiasi kwa muda mrefu. Nilianza kama njia ya kupumzisha akili, lakini sasa imekuwa janga kubwa.
Nimepoteza kazi yangu, mahusiano yangu na familia yameharibika, na afya yangu imekuwa mbaya. Ninajisikia hatia sana! Tamaa yangu nikurejesha maisha yangu ya hapo awali.
Naomba msaada wenu wote ili niweze kushinda vita hii dhidi ya pombe. Ninatafuta ushauri juu ya jinsi ya kuacha kunywa na kujenga tena maisha yangu.
Ninaamini kwamba kwa msaada wenu, nitaweza kushinda uraibu huu na kuwa mtu bora zaidi. Asante sana kwa ushirikiano wenu.