Ulevi Unaninyima Amani. Ninaomba Msaada wenu

Ulevi Unaninyima Amani. Ninaomba Msaada wenu

Habari zenu ndugu zangu,

Nimekuwa nikipambana na tatizo la kunywa pombe kupita kiasi kwa muda mrefu. Nilianza kama njia ya kupumzisha akili, lakini sasa imekuwa janga kubwa.

Nimepoteza kazi yangu, mahusiano yangu na familia yameharibika, na afya yangu imekuwa mbaya. Ninajisikia hatia sana! Tamaa yangu nikurejesha maisha yangu ya hapo awali.

Naomba msaada wenu wote ili niweze kushinda vita hii dhidi ya pombe. Ninatafuta ushauri juu ya jinsi ya kuacha kunywa na kujenga tena maisha yangu.

Ninaamini kwamba kwa msaada wenu, nitaweza kushinda uraibu huu na kuwa mtu bora zaidi. Asante sana kwa ushirikiano wenu.
Hongera kwanza kwa kukubali shida ni ulevi.
First step funga mkanda , kata kila kishawishi kinacho pelekea unywr pombe? Marafiki, company, mademu, sehem za starehe. The focus kwenye mambo ya msingi hobbies

Wakati huu waliokuzoea watakucheka, watakunyooshea vidole, usivunjike moyo. After 6 month utaona kawaida na utakuwa umeipunguxa kwa kiwango kikubwa
 
Asante kwa ujinga wako mkuu. Ila mtoa mada atachambua mwenyewe ushauri Bora na takataka. Mlevi unamtengeneza tena addiction nyingine ya kamari ili auze kila kitu kwa kubeti. Kazi kweli kweli.
kila tabia ina matatizo yako kwaiyo n ww kuchagua tatizo ambalo unaona nafuu.
Mfano ww una tatizo la Mental illness na huelewi we unajiona uko sawa
 
Habari zenu ndugu zangu,

Nimekuwa nikipambana na tatizo la kunywa pombe kupita kiasi kwa muda mrefu. Nilianza kama njia ya kupumzisha akili, lakini sasa imekuwa janga kubwa.

Nimepoteza kazi yangu, mahusiano yangu na familia yameharibika, na afya yangu imekuwa mbaya. Ninajisikia hatia sana! Tamaa yangu nikurejesha maisha yangu ya hapo awali.

Naomba msaada wenu wote ili niweze kushinda vita hii dhidi ya pombe. Ninatafuta ushauri juu ya jinsi ya kuacha kunywa na kujenga tena maisha yangu.

Ninaamini kwamba kwa msaada wenu, nitaweza kushinda uraibu huu na kuwa mtu bora zaidi. Asante sana kwa ushirikiano wenu.
Pombe tamu asikuambie mtu! Bia tamu! Biaaa! Biaaa! Mitungi! Bia tamu!
 
Huu ushauri mzuri unawasaidia watu wengi🔥🔥🔥
 
Tafuta Post inayosema Jinsi ya kuacha pombe kwa kutumia jina la Yesu, kama utaifuata itakusaidia sana
 
kila tabia ina matatizo yako kwaiyo n ww kuchagua tatizo ambalo unaona nafuu.
Mfano ww una tatizo la Mental illness na huelewi we unajiona uko sawa
Mpaka mtoa mada anaomba msaada, kama ni kweli, tayari amejitambua. JF ni sehemu ya makimbilio kwake. Tumshauri kumnasua. Kumwambia atafute tena ulevu wa wanawake na kamari kama mbadala wa pombe unamuingiza kwenye mgogoro mwingine mkubwa wa kiuchumi na kiakili. Vinginevyo niamini kuwa ukiandika utani na sio ushauri. Ndugu yangu ameacha Pombe kabisa kwa ushauri niliotoa hapo juu.
 
Mpaka mtoa mada anaomba msaada, kama ni kweli, tayari amejitambua. JF ni sehemu ya makimbilio kwake. Tumshauri kumnasua. Kumwambia atafute tena ulevu wa wanawake na kamari kama mbadala wa pombe unamuingiza kwenye mgogoro mwingine mkubwa wa kiuchumi na kiakili. Vinginevyo niamini kuwa ukiandika utani na sio ushauri. Ndugu yangu ameacha Pombe kabisa kwa ushauri niliotoa hapo juu.
Mi niliacha pombe kwa kuanza kushabikia mpira na saizi ndo ulevi wangu!

Hizo njia nyingine zilifeli endelea kumlisha hekima isiyo fanya kazi.Tabia mpya nilazima iwe inakuretea furaha ndio utaweza isahau tabia ya zaman
 
Jipe majukumu makubwa kuliko kipato chako uone kama utapata hata hio hela ya kupiga vyombo, lakini pia shida ya mtu aliekua mraibu ataenda hata katika hivi vibanda vya bara barani wanavo uza pombe ndogo ndogo ko ata akiwa na elfu 5 bado atalewa tu ebu fanya jambo la kutuliza akili yako huwezi kushindana na viwanda vinavyo zalisha pombe thats all.
 
Anzisha uraibu wa papuchii lazima huko uchomoke

Au tafuta uraibu wa kubet
Au uraibu wa kushabikia mpira

Yaan nisikufiche uraibu unatibiwa kwa uraibu mwingine
Au uraibu wa mademu, akisikia kiu ya gambe anaita manzi huo mda anaupoteza kwa kuichapa akitoka hapo hoi anaenda kulala
 
Mi niliacha pombe kwa kuanza kushabikia mpira na saizi ndo ulevi wangu!

Hizo njia nyingine zilifeli endelea kumlisha hekima isiyo fanya kazi.Tabia mpya nilazima iwe inakuretea furaha ndio utaweza isahau tabia ya zaman
Kila kitu kizuri au kibaya hutumia muda, akili na pesa. Hivyo tusimshauri mtoa mada kujiingiza kwenye jambo hatari kuliko la pombe, eti wanawake na kamari. Yote mawili yana madhara ya moja kwa moja. Bado naupinga ushauri wako kimantiki hata mwenyewe unajua.
 
Write your reply...unapogunduwa tatizo huwa rahisi sana kulitatuwa. Pambana kuikataa pombe kila unapo iona. Usikubali kuwa mroho na mlafi wa pombe. Marafiki walevi wakimbie. Na ukumbuke kilasiku kuwa umeacha pombe na iwe sumu kwako utashinda.
 
Kila kitu kizuri au kibaya hutumia muda, akili na pesa. Hivyo tusimshauri mtoa mada kujiingiza kwenye jambo hatari kuliko la pombe, eti wanawake na kamari. Yote mawili yana madhara ya moja kwa moja. Bado naupinga ushauri wako kimantiki hata mwenyewe unajua.
haya mshauri nausubir ushauri wako
 
Habari zenu ndugu zangu,

Nimekuwa nikipambana na tatizo la kunywa pombe kupita kiasi kwa muda mrefu. Nilianza kama njia ya kupumzisha akili, lakini sasa imekuwa janga kubwa.

Nimepoteza kazi yangu, mahusiano yangu na familia yameharibika, na afya yangu imekuwa mbaya. Ninajisikia hatia sana! Tamaa yangu nikurejesha maisha yangu ya hapo awali.

Naomba msaada wenu wote ili niweze kushinda vita hii dhidi ya pombe. Ninatafuta ushauri juu ya jinsi ya kuacha kunywa na kujenga tena maisha yangu.

Ninaamini kwamba kwa msaada wenu, nitaweza kushinda uraibu huu na kuwa mtu bora zaidi. Asante sana kwa ushirikiano wenu.
Pombe ndio mpango mzima,wasiokunywa pombe ni watu wa hovyo,wewe ni mtu bora sana kama unapiga kilevi vya kutosha
 
Habari zenu ndugu zangu,

Nimekuwa nikipambana na tatizo la kunywa pombe kupita kiasi kwa muda mrefu. Nilianza kama njia ya kupumzisha akili, lakini sasa imekuwa janga kubwa.

Nimepoteza kazi yangu, mahusiano yangu na familia yameharibika, na afya yangu imekuwa mbaya. Ninajisikia hatia sana! Tamaa yangu nikurejesha maisha yangu ya hapo awali.

Naomba msaada wenu wote ili niweze kushinda vita hii dhidi ya pombe. Ninatafuta ushauri juu ya jinsi ya kuacha kunywa na kujenga tena maisha yangu.

Ninaamini kwamba kwa msaada wenu, nitaweza kushinda uraibu huu na kuwa mtu bora zaidi. Asante sana kwa ushirikiano wenu.
Mpokee Yesu kui yote ya pombe inaangamia
 
Jamani uraibu hautoki kirahisi namna hiyo.Kienyeji suala hili linatibiwa kwa kulishwa dawa kwa kujua ama kwa kutojua na kisha mtu kutapika kila unywapo pombe.Uangalifu tu wahitajika kwa kuwa kinahusisha kuingia mwilini na kutoka.USHAURI:Kwa mazingira ulipo hasa huku bara jenga urafiki na mzee kisha mshirikishe atakupa mwongozo.
 
Hatua ya kwanza ya kulijua tatizo umeipiga tena kwa hiari yako hilo ni jambo kubwa sana , sijui kwa upande wako ipoje ila kuna walevi ambao hawashawishiwi na marafiki au sababu nyingine za kimazingira ambazo wadau wamezitaja . Hatua ya pili muhimu ya kupiga tafuta kitu mbadala utakachofanya kichukue ule mda na gharama ulizokua unazitumia kwenye pombe . Kama ww ni muumini wa kutafuta pesa wekeza mda na rasilimali ulizokua unazitumia kwenye ulabu kupiga pesa . Fanya kitu kipya ambacho hujafanya hii itatengeneza ile hamu ya kushift toka kwenye gambe kwenda kwenye hilo jambo lingine
 
Mzee wangu alikuwa na dawa flani hivi.... Unachanganyiwa kwenye pombe ukinywa kidogo tu, wewe tayari hunywi tena pombe mpaka siku unaingia kaburini🤔

Sababu kitachotokea ni kila ukiisikia harufu ya pombe unatapika vibaya mno.... Utaacha utake usitake!!!

Sema ndo hvyo wazee wa kiafrika wanakufaga na ujuzi wao kichwani🚶
 
kama pombe inakuletea shida ni vizuri ukaacha lakini hutoweza kuacha ghafla lazima upunguze kwanza
 
Back
Top Bottom