Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 3,620
- 7,818
uchawi ni mambo ya kiroho! Na mchawi hamind sana pesa... Hata hvo hata bank nazan kuna mkono wa uchawi au kinga dhidi ya uchawihao wachawi wenye uwezo mkubwa waende Bank wakaibe pesa kichawi. Kwanini wanashindwa.?