Uliambiwa nini ukiwa Mtoto lakini baada ya kukua ukagundua ni Uongo?

Uliambiwa nini ukiwa Mtoto lakini baada ya kukua ukagundua ni Uongo?

Kinyonga akikaa kichwani kwako hawezi kutolewa na mtu yeyote bali shangazi yako.

Ukiua mijusi utatetemeka mikono.
 
Sisi wakati tunakua tuliambiwa maneno mengi sana na kweli tuliyatii kutoka na kutokuwa na uelewa wowote kwa miaka hiyo hivyo kupelekea kuamini ni la kweli kwa kila tulilo ambiwa.

Moja ya maneno ambayo yalikuwa yanaimbwa kama "Ukimuangalia mtu aliekaa UCHI basi nawe unakuwa kipofu" ilitusaidia hata kama kwa bahati mbaya umeona basi hakukuwa na ulazima wa kurudia kuangalia kutokana na onyo hilo.

Mfano hii slogan ingekuwa ya kweli, basi mashabiki wa utopolo wengi wangekuwa vipofu.

Wewe ulisikia au uliambiwa kipi ambacho baadae ukaja gundua ni uongo?
Wasazi ya zamani nachanganya
Wasazi ya zamani litusiga
Kwa uzushi na maneno mbofumbofu
Mtu kiniruka ati nitakuwa mtu fupi,wengi waliruka mbona Mimi mrefu?
Cc me.ebbo🤣🤣🤣
 
Nliwahi kuambiwa nikichokonoa sikio na njiti ya kiberiti uoande wa kuwashia itawakia sikioni
 
Stori za kuhusu Uchawi, Biblia na Quran niliziamini sana zamani

Baada ya kuwa mtu mzima nimegundua ukweli kwamba Uchawi ni hadithi za kufikirika, biblia na Quran zimeandikwa na wajanja wa zamani kwa ajili ya kuwatawala na ku kucontroll watu
 
Ukipasua mayai ya kunguru anakuja kuchoma moto nyumba yenu
 
Stori za kuhusu Uchawi, Biblia na Quran niliziamini sana zamani

Baada ya kuwa mtu mzima nimegundua ukweli kwamba Uchawi ni hadithi za kufikirika, biblia na Quran zimeandikwa na wajanja wa zamani kwa ajili ya kucontroll watu
mkuu usije ukaenda kwa mganga wa kienyeji ukanyea nyumbani kwake mchana kweupe... Hapo ndio utajionea practical ya uchawi... Achana na dar kanye mikoa ya kanda ya ziwa huko
 
Mtoto ukila kiazi kikubwa au nyama kubwa... Utaangukia mlangoni
 
mkuu usije ukaenda kwa mganga wa kienyeji ukanyea nyumbani kwake mchana kweupe... Hapo ndio utajionea practical ya uchawi... Achana na dar kanye mikoa ya kanda ya ziwa huko


Sio kwa mganga tu hata kwa mchungaji ama kwa kipofu siwezi,,, Ni chizi peke yake ndie anaeweza kwenda Kunyea nyumba ya mtu .

Civilizations inafundisha Ustaarabu kujihehimu na kuheshimu wengine.

Tendo la Kunyea tu ,,nyumba ya mtu ni kutojiheshimu hata kama hiyo nyumba haina ulinzi wowote
 
Sio kwa mganga tu hata kwa mchungaji ama kwa kipofu siwezi,,, Ni chizi peke yake ndie anaeweza kwenda Kunyea nyumba ya mtu .

Civilizations inafundisha Ustaarabu kujihehimu na kuheshimu wengine.

Tendo la Kunyea tu ,,nyumba ya mtu ni kutojiheshimu hata kama hiyo nyumba haina ulinzi wowote
yaani lengo la kufanya hvo ni kuprove kama uchawi upo... Sasa utarogwaje bila kumkosea mchawi
 
yaani lengo la kufanya hvo ni kuprove kama uchawi upo... Sasa utarogwaje bila kumkosea mchawi

Kunya ndio kuna prove uchawi upo ?

Uchawi ni hadithi za kufikirika kiingereza wanaita Myth

Kama uchawi ungekuwepo na ungekuwa unafanya kazi dunia isingekua sehemu salama ya kuishi, kwasababu ukimzingua mtu kidogo tu ushamrog(zaidi ya 50% population wangekuwa vichaa), mabenki yangekuwa yanatangaza hasara tu kilasiku kwasababu ya chumaulete, wazungu wangekuwa wanashangaa kuwaona waafrika wanaongezeka kwa Kasi ya ajabu kwenye nchi zao(kumbe wamepaa na ungo kwenda kwenye nchi hizo zilizoendelea badala ya kutumia njia hatarishi
 
Kunya ndio kuna prove uchawi upo ?

Uchawi ni hadithi za kufikirika kiingereza wanaita Myth

Kama uchawi ungekuwepo na ungekuwa unafanya kazi dunia isingekua sehemu salama ya kuishi, kwasababu ukimzingua mtu kidogo tu ushamrog(zaidi ya 50% population wangekuwa vichaa), mabenki yangekuwa yanatangaza hasara tu kilasiku kwasababu ya chumaulete, wazungu wangekuwa wanashangaa kuwaona waafrika wanaongezeka kwa Kasi ya ajabu kwenye nchi zao(kumbe wamepaa na ungo kwenda kwenye nchi hizo zilizoendelea badala ya kutumia njia hatarishi
uchawi upo, kurogwa watu wanarogwa kila siku, lakini hawarogi sana coz wanaogopa vita maana ukimroga mtu lazima ndugu zake walipize visasi, mkuu sema hujawahi kuona, shinyanga watu wanakatwa mapanga, ungekuwa ushawahi fika shy ukashuhudia ngoma za wasukuma ungekuwa ushanielewa, yani wanaroga live bila chenga, unayoyaona kwenye TV unaona live mtu analeta mvua mwezi wa 8, watu wanarogwa wanakufa wakiwa mchezoni vinaeata visasi
 
uchawi upo, kurogwa watu wanarogwa kila siku, lakini hawarogi sana coz wanaogopa vita maana ukimroga mtu lazima ndugu zake walipize visasi, mkuu sema hujawahi kuona, shinyanga watu wanakatwa mapanga, ungekuwa ushawahi fika shy ukashuhudia ngoma za wasukuma ungekuwa ushanielewa, yani wanaroga live bila chenga, unayoyaona kwenye TV unaona live mtu analeta mvua mwezi wa 8, watu wanarogwa wanakufa wakiwa mchezoni vinaeata visasi

hao wachawi wenye uwezo mkubwa waende Bank wakaibe pesa kichawi. Kwanini wanashindwa.?
 
Back
Top Bottom