Anakuja Yesu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 564
- 485
Mvua ikiwa inyesha huku jua linawaka basi simba anazaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Enzi za kuzungusha antena ndio ilikuwa mbinu yangu kuu ya kumtoroka binti yangu mpendwa, Mungu ni mwema yuko darasa la tatu sasa.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimejikuta nacheka mwenyewe maana hii mbinu naitumia kila wkt kumtoroka mwanangu
Twende kutembea. Nilirudi nimevalishwa kanga na machozi juu
Hahahaahahahh[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimejikuta nacheka mwenyewe maana hii mbinu naitumia kila wkt kumtoroka mwanangu
HahahahaEt rud kavae viatu ndan nakusubir APA APA ukiingia tu ndan kutoka nje mama hayupo nalia had nacnzia apoapo
Hahahahahahaaaa.Mama alikuwa akimpata mdogo wangu alikuwa ananidanganya kuwa ameenda kumnunua sokoni!.....Hadi nafika la saba nilikuwa nafikiri kuwa watoto huwa wananunuliwa sokoni!!
Nilikuwa naambiwa nikutengenezee njia inayoenda kwa bibi yangu ili nije nipite wakati wa kwenda kumsalimia, hapo nafurahi kweli kweli huku muhindi analiwa tuNilidanganywa vingi...
Nilikuwa napenda sana kulia lia hovyo pengine kitu kidogo nalia,niliambiwa nkilia usiku ni kuita wachawi na wataondoka na sauti yangu nitakuwa bubu. Nikaacha habari za kujiliza Liza na madeko.
Kingine kula muhindi unaambiwa njoo nikuwekee njia ya kwenda kwenu (wanatamka origin yako huko kwenu)
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mama alikuwa akimpata mdogo wangu alikuwa ananidanganya kuwa ameenda kumnunua sokoni!.....Hadi nafika la saba nilikuwa nafikiri kuwa watoto huwa wananunuliwa sokoni!!
Nadhani hii 900 ilimpendeza mama hadi kakununuaMama alinambia hivi "nilikununua hospital, niliona watt weeengi ila nilipofika kwako tuu,ukanichekeaaa nami nikafurahi na kukuchekea pia,nikakuchua ukawa mwanagu mzuuuri hadi Leo"... Looh niliamini eti nimenunuliwa hospital mpaka nipokuja kujua hahahhaha so funny
Ukimchungulia MTU mzima unapofuka macho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] n.k