Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nilidanganywa eti ukila sakramenti kabla ya kipaimara unakua unatokwa machozi bila sababuUkienda kanisani na kula sakramenti kabla ya kipaimara, ukirudi kwenu utakuta nyumba yote imejaa damu.
HahahaSasa umegundua kuwa sisi ni watu muhimu sana kwa ustawi wenu au sio mkuu.......!
Na kweliDuh aliyekudanganya hakutaka unanihi mapema mwaya
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimejikuta nacheka mwenyewe maana hii mbinu naitumia kila wkt kumtoroka mwananguEt rud kavae viatu ndan nakusubir APA APA ukiingia tu ndan kutoka nje mama hayupo nalia had nacnzia apoapo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yawezekana uobgo huu umeenea nchi nzimaMama kaenda kununua mtoto na kweli jioni akarudi na mdogo wangu