mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
Nilidanganywa yafuatayo:
1. Tanzania ni nchi masikini
2. Wanaume wa Dar ndiyo wanaume wa kweli
3. Mwanamke akila kichwa cha mbuzi na samaki hawezi zaa
4. Mwanamme ukila chakula kwenye chungu unakosa nguvu za kiume kama wanaume wa Dar.
1. Tanzania ni nchi masikini
2. Wanaume wa Dar ndiyo wanaume wa kweli
3. Mwanamke akila kichwa cha mbuzi na samaki hawezi zaa
4. Mwanamme ukila chakula kwenye chungu unakosa nguvu za kiume kama wanaume wa Dar.