Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio niko kwenye harakati mkuu za kumake money ya kwenda kuwanunua[emoji13] [emoji13]
Poleee, hiyo ndo feeling nnaipata kila nikiona wale wadudu!Dah hadi nimejawa na mate halafu pa kuyatema sina duh (bad image)
Nmeambwa yupo njian na fazaMkuu kwani karudi?
Nawewe ulitaka kuwa mng'oa kucha??Nikifaulu kila mtihani nikiwa wa kwanza afisa usalama watakuja kunirecruit kimya kimya nami nipige hizo mission hii ilinifanya nijitahidi kufanikisha hilo na kila nikipanda darasa nao hawatokei tu na haikutokea hadi nilipojua uongo ila ilinipa msingi mzuri.
[emoji13] [emoji13] [emoji13]Ha ha ha ha ukipata hata nusu njoo nikuuzie iliyobaki utamalizia taratibu mkuu teh teh teh
Uchochezi huo mkuu ujue[emoji12]Wewe unapenda ukijani ee... haha sijui ni mwana sisiemu natania tu
Wote tumedanganywa vingi mkuu,na vingi vinafanana fanana...teh[emoji736] Nilidanganywa ukikalia kinu kinakunasia makalioni
[emoji736] Nilidanganywa kama umelala chini mwenzio akikuruka huwezi refuka utakua mfupi hivyo hivyo
[emoji736] Nilidanganywa ukinyoosha kidole makabulini kinakauka hadi uking’ate
[emoji736]Nilidanganywa uking’oa jino ukalitupa chini pale kwenye pengo pataota jiwe
[emoji736] Nilidanganywa mwenzio akikung’ata pakaa mavi ya kuku ataoza meno
[emoji736] Nilidanganywa ukikojoa porini au sehem sio rasmi temea mate kwani nyoka akilamba ule mkojo dudu itavimba
[emoji736]Nilidanganywa ukila sukari nyingi kwenye chai unapata kisukari
[emoji324]Nahisi ni mimi pekee ndio nitakua nilidanganywa vingi sana nilipo kua mtoto.
Nashukuru sikuwahi kudanganywa juu ya uzaliwaji wa watoto maana nilikua mtata sana ktk hayo mambo haha