Satirical Yet Awesome
JF-Expert Member
- Oct 11, 2023
- 629
- 1,688
- Thread starter
- #21
Nasomakuakua dogo.au husomi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasomakuakua dogo.au husomi?
Pombe sio kama bhangiWanywaji wa pombe huwa ni watu safi sana.Huwezi kumkuta mnywaji anamshauri mtu mwingine anywe pombe.
We jamaa we😅😅😅Ole wako unywe bia zangu nishakupiga marufuku Ila hujanielewa nini au maelezo yangu hayajakuingia si unajua Bei ya Heineken na Bei ya Desperado zilivyochangamka achana kabisa na pombe acha ninywe Mimi tu,
Hata wavuta Sigara hawanaga mda wa kumshauri mtu avute,Wanywaji wa pombe huwa ni watu safi sana.Huwezi kumkuta mnywaji anamshauri mtu mwingine anywe pombe.
acha ujinga utafeliNasoma
Mi nafkiri miaka 8,mdingi akiwa anatwanga Safari zake visoda vyangu.Ila sikuiz nikiziona huwa naziangaliaga sana, natamani hata nionje kidogo.
Ninacho ogopa, sijui kitakacho tokea baada ya kulewa, naogopa sana hali ya kutojielewaacha ujinga utafeli
Bangi Ina shida Kwan mkuu[emoji23]
😂😂😂 hujaathirika?? mbuyu ulianza kama mchicha,the worst is yet to come😁Kumbu kumbu zangu ni mwaka 1993, mpaka leo nakunjwa ila sijawahi kuathirika kwa namna yoyote nayo
Kilichokushawishi n nini?Juzi tu hapo😓
Breaking BadNilianza nikiwa darasa la tatu Ile kdg kdg mpk nafka 4m4 napiga safari 5 kubwa bila tabu ,nikaendelea nayo mpk 2019 December ndio nilachaa baada ya kunywa k vant nikaendaa geto na Dem cku zile nilipiga shoo mpk Dem akazimaa nikajua nimeuwa kutokana na ulev nilivyoona Dem kazima nikajua kachoka kalala NAMI nikajilazaa kuja kushtuka asubuh Dem anamaataapishi mdomon na shukaa limelowa damu htr htr aiseee nilidataaa [emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]..ilaaa niliweza kumsaidia na kurudi Kwenye Hali yakee.
Baada ya hapo nilijitafakari sana kuhusu pombee nikaonaa niachanee nayo,,kiufupi pombe imenipitisha visanga kibao vya madem...
2023-1993=30[emoji23][emoji23][emoji23] hujaathirika?? mbuyu ulianza kama mchicha,the worst is yet to come[emoji16]
NapitaKamaRadi
wee wakike au?Ninacho ogopa, sijui kitakacho tokea baada ya kulewa, naogopa sana hali ya kutojielewa
By the time naanza darasa la 1, nilikua tayari najua pombe kali zote kiasi kwamba ukinifunika macho ukanilambisha najua hii ni konyagi, hii ni vat 69, hii ni grants, hii ni dodoma wine nk. Bia nimekuja kuzianza niko form 6 na sikuzipenda nikaacha mpaka leo sinywi chochote zaidi ya wine.Nahic kuna mapepo ya kunywa pombe yananifatilia.
Mzee wangu huwa anapenda kuhifadhi pombe kweny fridge, yaan ukifungua fridge hukosi pombe, anapendaga aina ya Heineken na desperados.
Zikiisha kweny fridge, utamsikia "Oya dogo natoka mara moja narudi asaiv"....akirudi lazima awe amebeba bia za kutosha.
Mama kaongea sana hadi kachoka kuhusu tabia ya kuhifadhi bia kweny fridge ila mshkaji hata aelewi.
Huwaga anani onya sana kuhusu matutizi ya pombe, na huwa namsikilizaga sana, sijawahi kunywa pombe zake.
Ila sikuiz nikiziona huwa naziangaliaga sana, natamani hata nionje kidogo.
Kwaio swali langu sasa, Ulianza kunywa pombe ukiwa umri gani na kitu gani kilikushawishi?