Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Za asili zina namna yake unakunywa kimkakati hazichoshi sana kama sio full time muleeviZa asili si ndio balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za asili zina namna yake unakunywa kimkakati hazichoshi sana kama sio full time muleeviZa asili si ndio balaa
Shida iko wapiKumbe! Hapa unaweza uliza swali mtoa mada akahisi kudhalilishwa
19 Ila zshanishinda kwakwer chungu Yan haina hat radhaNahic kuna mapepo ya kunywa pombe yananifatilia.
Mzee wangu huwa anapenda kuhifadhi pombe kweny fridge, yaan ukifungua fridge hukosi pombe, anapendaga aina ya Heineken na desperados.
Zikiisha kweny fridge, utamsikia "Oya dogo natoka mara moja narudi asaiv"....akirudi lazima awe amebeba bia za kutosha.
Mama kaongea sana hadi kachoka kuhusu tabia ya kuhifadhi bia kweny fridge ila mshkaji hata aelewi.
Huwaga anani onya sana kuhusu matutizi ya pombe, na huwa namsikilizaga sana, sijawahi kunywa pombe zake.
Ila sikuiz nikiziona huwa naziangaliaga sana, natamani hata nionje kidogo.
Kwaio swali langu sasa, Ulianza kunywa pombe ukiwa umri gani na kitu gani kilikushawishi?
😁😁Najua ID yake mi sio fala last seen zamani sana, akinunua simu mpya email namwekeaga Mimi nyimbo za injili nazidownload mm, ads naziblock mmUlidhani sipo huku JF bac utanieleza kesho
Wewe tulia kesho utanieleza😁😁Najua ID yake mi sio fala last seen zamani sana, akinunua simu mpya email namwekeaga Mimi nyimbo za injili nazidownload mm, ads naziblock mm
Kiarano pombe inapkwa home utaacha kunywa kweliWaulize kina mangi
🤔🤔Ulivo serious sasaWewe tulia kesho utanieleza
Umenizidi miaka miwiliKumbe wakongwe tupo wengi nilianza 1982 huko musoma