Satirical Yet Awesome
JF-Expert Member
- Oct 11, 2023
- 629
- 1,688
- Thread starter
- #41
True 😅 😅 😅Breaking Bad
But kweny breaking bad demu alifariki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
True 😅 😅 😅Breaking Bad
Sijakuelewawee wakike au?
Kumbe! Hapa unaweza uliza swali mtoa mada akahisi kudhalilishwaMama kaongea sana hadi kachoka kuhusu tabia ya kuhifadhi bia kweny fridge ila mshkaji hata aelewi
Case ni hiyo hiyo mkuu sasa wew cjui ungefanyaje mkuu kwa scene kama hiyo ??True 😅 😅 😅
But kweny breaking bad demu alifariki
Jinsia yako mkuuSijakuelewa
MaleJinsia yako mkuu
Saiv kama sikosei utakuwa around 48-55 years old,huu ndiyo umri ambao pancrease+liver zinaanza kupoteza nguvu zake ni hatar2023-1993=30
Miaka thelathini imepita bila athari ndio athari zije kunikuta kisa pombe?
Wacha kabisa 🍻 tam toka kitamboKwa wachaga pombe ni sehemu ya chakula...utamsikia bibi anamuambia mjukuu wa darasa la kwanza...."riaa kidogoo"......halafu mjukuu anapiga funda.🙂🙂
Ulidhani sipo huku JF bac utanieleza keshoMi pombe za viwandani sio mtumiaji ila zle za kijijini za asili nazitembeza vizuri japo kiuwizi wizi maana mzee akinikamata ata-edit wosia
Za asili si ndio balaaMi pombe za viwandani sio mtumiaji ila zle za kijijini za asili nazitembeza vizuri japo kiuwizi wizi maana mzee akinikamata ata-edit wosia
sasa hizo emoji za kike za kazi ganiMale
Zikiisha kweny fridge, utamsikia "Oya dogo natoka mara moja narudi asaiv"....akirudi lazima awe amebeba bia za kutosha.
Mama kaongea sana hadi kachoka kuhusu tabia ya kuhifadhi bia kweny fridge ila mshkaji hata aelewi.
una chanzo chochote cha mapato ndugu yangu..? au chanzo chako ni mzazi..? kama huna nakushauri ukitafute kwanza, kwa umri wa 20yrs ukianza pombe bila angalau mtaji wako utaishia pabayaNahic kuna mapepo ya kunywa pombe yananifatilia.
Mzee wangu huwa anapenda kuhifadhi pombe kweny fridge, yaan ukifungua fridge hukosi pombe, anapendaga aina ya Heineken na desperados.
Zikiisha kweny fridge, utamsikia "Oya dogo natoka mara moja narudi asaiv"....akirudi lazima awe amebeba bia za kutosha.
Mama kaongea sana hadi kachoka kuhusu tabia ya kuhifadhi bia kweny fridge ila mshkaji hata aelewi.
Huwaga anani onya sana kuhusu matutizi ya pombe, na huwa namsikilizaga sana, sijawahi kunywa pombe zake.
Ila sikuiz nikiziona huwa naziangaliaga sana, natamani hata nionje kidogo.
Kwaio swali langu sasa, Ulianza kunywa pombe ukiwa umri gani na kitu gani kilikushawishi?
Mimi nimeona bora kunyamazaKumbe! Hapa unaweza uliza swali mtoa mada akahisi kudhalilishwa
Same situation to me but nilikunywa ila kwa nguvu ya Yesu naipambania Roho yanguNahic kuna mapepo ya kunywa pombe yananifatilia.
Mzee wangu huwa anapenda kuhifadhi pombe kweny fridge, yaan ukifungua fridge hukosi pombe, anapendaga aina ya Heineken na desperados.
Zikiisha kweny fridge, utamsikia "Oya dogo natoka mara moja narudi asaiv"....akirudi lazima awe amebeba bia za kutosha.
Mama kaongea sana hadi kachoka kuhusu tabia ya kuhifadhi bia kweny fridge ila mshkaji hata aelewi.
Huwaga anani onya sana kuhusu matutizi ya pombe, na huwa namsikilizaga sana, sijawahi kunywa pombe zake.
Ila sikuiz nikiziona huwa naziangaliaga sana, natamani hata nionje kidogo.
Kwaio swali langu sasa, Ulianza kunywa pombe ukiwa umri gani na kitu gani kilikushawishi?
Emoji zipi??sasa hizo emoji za kike za kazi gani
Hana noma.una chanzo chochote cha mapato ndugu yangu..? au chanzo chako ni mzazi..? kama huna nakushauri ukitafute kwanza, kwa umri wa 20yrs ukianza pombe bila angalau mtaji wako utaishia pabaya
ni bora uanze pombe ukiwa primary maana huwez kwenda kukaa baa, lakin kwa umri wako utahitaji outings, je itakuaje..?
vipi lkn mzee wako akilewa, hua haleti noma hapo home au ni wale wa kuongea sana na kucheka..?