Ulianzaje kukaa gheto?

Hahahahahahahahahaha
 
Haha sema jamaa hajasema chochote..ye kajipostia mjengo tu..watu wakajiongeza [emoji3]
 
Thanks mkuu kwa ku appreciate mchango huu...naamini watu wataanza kuitumia vyema mitandao hasa kujifunza mambo mapya ya kujikwamua kimaisha.
pia kama una link za video za ufund simu from begginers to advanced naomba nitumie, niko najifunza ufund simu lakn u tube sion video za maana yaan.
 
Kwasasa huu ni uzi wangu pendwa....leteni visa tupate motivation zaid

Mkuu Walec ukiwa kama cr wa huu uzi...

1. picha ya getto lako ihusike kimtindo ili kuleta hamasa zaidi.

2. Hebu tiririka kuhusu buying online na jinsi gani mtu anaweza save costs..Manake kuna vitu tunanunua kwa waha kwa gharama kubwa kumbe tungeagiza kwa bei cheap...Nawezaje nikaanza kutumia hizo application..tiririka please
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…