Ok, amplifier umeisuka mwenyewe?View attachment 1771291
@Kanungila Karim
Ok, amplifier umeisuka mwenyewe?
Umetisha chief.Kama kawaida boss
Nahitaji financial services uwe sponsor wangu [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji3][emoji3] malipo ya sponsor ni kupelekeshwa na kuwa mtumwa wake sitaki mimi ,hata sponsor mwenyewe alianzia chini hivi hivi, acha niendelee kua sponsor of my own life na ni raha acha tu,single room yangu naona assets zangu zote hata nikiwa nimelala[emoji3][emoji3]
Kapeti kutosha hapo gheto imeenda shilling ngapi mkuu?View attachment 1730244leo nakula live show za bolingo tu[emoji56][emoji56][emoji4][emoji4]
Shukrani sana.@Kanungila Karim
Kabisaaah[emoji3][emoji3] malipo ya sponsor ni kupelekeshwa na kuwa mtumwa wake sitaki mimi ,hata sponsor mwenyewe alianzia chini hivi hivi, acha niendelee kua sponsor of my own life na ni raha acha tu,single room yangu naona assets zangu zote hata nikiwa nimelala[emoji3][emoji3]
Mwanafunzi upo?, umeadimika kwani mshaanza quizzes and tests?😂 zimamoto ktk ubora wako🙌Kabisaaah
Nakuambiaje cc yaan saiv madesa yana ovateki ubongo wangu, usijeshangaa nimebwaga chini lectures, [emoji23][emoji23][emoji23]Mwanafunzi upo?, umeadimika kwani mshaanza quizzes and tests?[emoji23] zimamoto ktk ubora wako[emoji119]
Wee hakuna kubwaga chini lectures,ruka urukavyo ila shule hadi iishe hiyo 😛 nimeongea kama dada mkubwa huku nakufokea kidogo😉 pole dear ndiyo ukubwa huo pambana! I do remember those days dah chuo shikamoo 🙌Nakuambiaje cc yaan saiv madesa yana ovateki ubongo wangu, usijeshangaa nimebwaga chini lectures, [emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa ila malipo yake utayaweza mkuu? Si unayafahamu masharti ya sponsor😀😀Nahitaji financial services uwe sponsor wangu [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
Kapeti kutosha hapo gheto imeenda shilling ngapi mkuu?
Poa poa chiefMkuu hili meter 1 40000 kwa iringa
Kwahyo hapo ni 80000
Kila sponsor na masharti yako. Nipe masharti yako, najua nitayamudu tu.Sawa ila malipo yake utayaweza mkuu? Si unayafahamu masharti ya sponsor[emoji3][emoji3]
Yaan wee acha tyuuh cc, nikiangalia madogo wanavofurahia kuingia chuo nabaki kuduwaa tyuuh.Wee hakuna kubwaga chini lectures,ruka urukavyo ila shule hadi iishe hiyo [emoji14] nimeongea kama dada mkubwa huku nakufokea kidogo[emoji6] pole dear ndiyo ukubwa huo pambana! I do remember those days dah chuo shikamoo [emoji119]
Karibu sana mkuu naishi Temeke, ntafurahii
Nipo huku kiwalani mkuuSudan. Wailes, Chang'ombe,Yanga au Sandali
Nipo huku kiwalani mkuu