Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

[emoji3][emoji3] malipo ya sponsor ni kupelekeshwa na kuwa mtumwa wake sitaki mimi ,hata sponsor mwenyewe alianzia chini hivi hivi, acha niendelee kua sponsor of my own life na ni raha acha tu,single room yangu naona assets zangu zote hata nikiwa nimelala[emoji3][emoji3]
Nahitaji financial services uwe sponsor wangu [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
 
[emoji3][emoji3] malipo ya sponsor ni kupelekeshwa na kuwa mtumwa wake sitaki mimi ,hata sponsor mwenyewe alianzia chini hivi hivi, acha niendelee kua sponsor of my own life na ni raha acha tu,single room yangu naona assets zangu zote hata nikiwa nimelala[emoji3][emoji3]
Kabisaaah
 
Nakuambiaje cc yaan saiv madesa yana ovateki ubongo wangu, usijeshangaa nimebwaga chini lectures, [emoji23][emoji23][emoji23]
Wee hakuna kubwaga chini lectures,ruka urukavyo ila shule hadi iishe hiyo 😛 nimeongea kama dada mkubwa huku nakufokea kidogo😉 pole dear ndiyo ukubwa huo pambana! I do remember those days dah chuo shikamoo 🙌
 
Wee hakuna kubwaga chini lectures,ruka urukavyo ila shule hadi iishe hiyo [emoji14] nimeongea kama dada mkubwa huku nakufokea kidogo[emoji6] pole dear ndiyo ukubwa huo pambana! I do remember those days dah chuo shikamoo [emoji119]
Yaan wee acha tyuuh cc, nikiangalia madogo wanavofurahia kuingia chuo nabaki kuduwaa tyuuh.
 
Back
Top Bottom