Mzee nimeweza sema kanivumilia Sanaa, shukurani yangu kwake Ni kumuoa tu kwakweli.Hahah dah kwel ume maintain penzi mkuu[emoji1787][emoji1787]
Uhakika mzee bed linapendeza
Sea peano ( Kama sijakosea kuandika) nasikia iko vzrNa bajeti ya 250k mdundo gani naweza poa nao magheton!
Nipeni uzoefu wakuu
Niko mkoani njombe-makambako huku tunakula vitu asiliaHayo mayai ya kienyeji yanapatkana wapi kwa dar??
Mm sikai huko,,,nlikua namwelekeza tu jamaa aliuliza hapo juuJirani yangu kumbe
Mkuu leo unajipigilia vitu vinono naona[emoji119][emoji119][emoji16][emoji16]Geto la mselaView attachment 1944043
KimtindoMkuu leo unajipigilia vitu vinono naona[emoji119][emoji119][emoji16][emoji16]
Njema Sana mzee, ghetto liko standard. Ongezaa vitu ndani.Geto la mselaView attachment 1944043
Na bajeti ya 250k mdundo gani naweza poa nao magheton!
Nipeni uzoefu wakuu
Ukijitegemea unaongeza uwezo wa
1. Kuishi vizuri na watu
2. Nidhamu ya pesa
3. Kujiamini
4. Kutanuka fikra/kufikiri kabla ya kutenda
5. Connections [emoji102]
Geto la mselaView attachment 1944043
Kimara kuanzia 60 ambacho sio self kijana.Wazee nataka kuhamia maeneo ya kimara ni wapi nitapata chumba cha 40k maeneo ayo
Mwambie akitaka kutusua atoke kwenye kivuli cha wazazi wakeAah wamama wanatakaga wakuone tu wakutume chumvi
Kimara korogwe,king'ongo,saranga,makambini,matanginiMkuu hv ni kamara gani nzuri kukaa yani hakuna matukio ya kukabwa mana nilipo Sasa ni mabibo uku dah vibaka wengi sana uku
Cheki Sea Piano inauzwa Laki na nusu Kkoo, ipo vyema sana na inadumu, pia sio mbaya ukitafuta na stabilizer inasaidia sana kutochoma vifaa vya umemeNa bajeti ya 250k mdundo gani naweza poa nao magheton!
Nipeni uzoefu wakuu