Ulianzaje kukaa gheto?

[emoji23] ko unamkomaa kwa bimdashi.....
Getto ipo raha bro, hasa ukiwa na harakat zako za kimaisha... Ni full uhuru an.
Uhuru wa kuzidi nao akili zinatakiwa Sanaa 🀣🀣 wakati nipo home nilikuwa siwaelewi wavuta shisha wakike.

Najishangaa now ni mvutaji pro max πŸ₯Ί napambana next year nisithubutu.
 
Yan 1m unapata tu kitanda, godoro, TV showcase na TV hela inaisha.πŸ˜ƒ
Kitanda na godoro laki nne inabaki laki sita.....hapo kodi ya pango hujalipa bado

Kama anataka kulala chini kwanza kwa godori tu na kapeti anapanga vizuri tu...
 
Uhuru wa kuzidi nao akili zinatakiwa Sanaa 🀣🀣 wakati nipo home nilikuwa siwaelewi wavuta shisha wakike.

Najishangaa now ni mvutaji pro max πŸ₯Ί napambana next year nisithubutu.
Mtungi mpaka ladha ninavyo njoo nikupe
 
Hongera sana.. ila hapo kwenye NB namimi nakuongezea N:B nyingine "UKIMWI UPO MWAAMWAMWAAA"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…