Diwani
JF-Expert Member
- Oct 25, 2014
- 2,680
- 2,779
Maisha yanaanza na ulichonacho mimi nimeshangaa kweli ml 1 mtu unasema unaanzaje anzaje
Mdogo wangu alikuwa akilipwa 150k kwa mwezi, kaanza kazi miezi miwili tu kasepa home
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha yanaanza na ulichonacho mimi nimeshangaa kweli ml 1 mtu unasema unaanzaje anzaje
Tatizo baadhi tunataka tuanzie pakubwa ndio maana inatazamika kama ni ndogo.[emoji1787][emoji1787] nyingi sana iyo pesa
NangojeaHiyo picha nilipiga kitambo kidogo; maybe badae
Unaona sasa 😀Nakaribia kusahau kabisa kitanda; bado nimepanga pallets mpaka leo [emoji1][emoji16]
Mdogo mdogo ndo mwendo apo ningekuwa mimi ningelipa kodi nanunua godoro jiko na mambo mengine ya muhimu afu najipa miezi au kadhaa ya kubadirisha ghetoTatizo baadhi tunataka tuanzie pakubwa ndio maana inatazamika kama ni ndogo.
Wiii hilo kabati rangi gan?mawardat upo??? Ila siku hizi sipo ghetto 'nilirudishwa home kilazima [emoji2957]View attachment 2031433
Subwoofer ninayo iyo kwa movies upate LG ,sony au samsung tv mpaka rahaHapana mzee aina fm
Hiyo hiyo uliyoiona 🤣Wiii hilo kabati rangi gan?
My dear nilipika ila haikuwa kama KFC ile labda KFC ya Buza😂, ilikua mbayaa kuku hawakukauka/kuiva vizuri sijui nilikosea wapi.Ulifanikiwa?
Au ulipunja mafuta? Si unajua yule anatakiwa adumbukie kwenye mafutaMy dear nilipika ila haikuwa kama KFC ile labda KFC ya Buza😂, ilikua mbayaa kuku hawakukauka/kuiva vizuri sijui nilikosea wapi.
Mafuta mengi tu sijui moto ulikua mkali sana, hata sikupenda😒Au ulipunja mafuta? Si unajua yule anatakiwa adumbukie kwenye mafuta
Kwamba awe na kiasi flan cha kuanzia maisha ila asiwe na shughuli ya kumpa kipato ndo akapange??Mimi niwe motivational speaker ili iweje?
Mimi nampa uhalisia wa maisha ya mpambanaji haswa,sio wote wanaweza kufuata mfumo huo.
Unajuaje kama jamaa anacho kiasi kidogo cha kuanzia maisha ya kupanga ila hana tu shughuli ya kumuingizia kipato?
Komaa[emoji23][emoji23]Uhuru wa kuzidi nao akili zinatakiwa Sanaa [emoji1787][emoji1787] wakati nipo home nilikuwa siwaelewi wavuta shisha wakike.
Najishangaa now ni mvutaji pro max [emoji3064] napambana next year nisithubutu.
We mboga 7 huezi kuish gheto subiri kdogo[emoji3]
Nikuambie yaani now kuna shetani flan hivi kuna vitu ananishawishi[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23] baki kwa mama tu
[emoji28][emoji28]nipe muda[emoji1787]Bana niulize PM pls [emoji1787][emoji1787]
Ila kitanda 250+
Godoro inchi 8 itapendeza zaidi 200K+
Stand ya jiko 100K
Kabati 2doors 280+
Kingine??
Kama huna sabb za kutoka tulia kwa mama [emoji1787][emoji1787]
Quan Lup