mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
[emoji39]hii kitu naipendaChemsha kuku ukiona anakaribia kuiva wekamo viazi/ ndizi, katia karoti na hoho ukitaka.View attachment 2031404
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji39]hii kitu naipendaChemsha kuku ukiona anakaribia kuiva wekamo viazi/ ndizi, katia karoti na hoho ukitaka.View attachment 2031404
Kwahiyo unanitisha[emoji28]We mboga 7 huezi kuish gheto subiri kdogo[emoji3]
Mie nilishahamaga nikawa naishi geto asee,mama alinifuata kurudi home bila kupenda[emoji1787]Nangojea
😁😁😁Mie nilishahamaga nikawa naishi geto asee,mama alinifuata kurudi home bila kupenda[emoji1787]
Sasa nipo mbali nae nawaza nisirudi mkoani nipange tu[emoji28]mwakani sasa[emoji120]
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Inatosha kabisa hiyo na mtaji unabakiwa nao kama huna ajira.Hapa nina million cash ila nashindwa kuhamia getto maisha magumu
Kama ameweza kuunga unga mpaka akapata kiasi cha kuanzia maisha ghetto why asindwe kuishi getto?Kwamba awe na kiasi flan cha kuanzia maisha ila asiwe na shughuli ya kumpa kipato ndo akapange??
What if hicho kiasi kikiishia ktk mahitaj ya geto??.... Atayamudu vp maisha ya geto???
Bedi ka yangu hii bedi za mwenge hapo inachoniuzi ni ipo Juu sana.Baada ya mshua afya kukaa sawa imenibidi nimeache kitaa nivute ghetto rasmi. Safari imeanza sasa. View attachment 1996144
Huko kuunga unga n moja ya shughuli tunazozungumzia hapa (inampa kipato), unless hio kuungaunga iwe na maana tofauti na ninavofaham.Kama ameweza kuunga unga mpaka akapata kiasi cha kuanzia maisha ghetto why asindwe kuishi getto?
Mkuu kwamba hujawahi kuona vijana hawana ajira/kazi mtaani ila wanaunga unga tu na maisha yanasonga?
Uko sahihi.Huko kuunga unga n moja ya shughuli tunazozungumzia hapa (inampa kipato), unless hio kuungaunga iwe na maana tofauti na ninavofaham.
Kuunga unga...... "Leo ni saidia fundi sehem, kesho atapewa bajaj aendeshe kwa kutwa moja, siku inayofuata atabeba mizigo, ataingia kiwandani kwa masaa, n.k."Uko sahihi.
Ila huko kuun
Uko sahihi kabisa.Kuunga unga...... "Leo ni saidia fundi sehem, kesho atapewa bajaj aendeshe kwa kutwa moja, siku inayofuata atabeba mizigo, ataingia kiwandani kwa masaa, n.k."
Kwa kifupi ni kuwa hana kazi rasmi ila anajishughulisha na chochote kitakachoibuka mbele yake, apate kipato.
Huyu ni tofauti na jobless ambae hana cha kushika kabisa. Asubuhi adamke, aswaki arudi kulala hadi saa 4, atafute chai, aoge, aangalie ishu ya lunch, atoke kwenda misele, arudi, aoge, ale alale.
Kama ni mtu wa hizi mishe hana haja ya kusubiri...... Ahamie getto chap.Uko sahihi kabisa.
So kwa aina ya kazi kama hizi za kuunga unga ambazo zinapatikana muda wowote kitaa kama tu unaweza kujichanganya, hivyo turudi katika point yetu ya msingi...jamaa kama anataka kuhamia geto ahamie tu bila kujiuliza mara mbilimbili,hayo maisha atapambana nayo hata kwa style hii.
[emoji23][emoji23][emoji23] n nyeupe eeeh? Iko poa sana.Hiyo hiyo uliyoiona [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ccMy dear nilipika ila haikuwa kama KFC ile labda KFC ya Buza[emoji23], ilikua mbayaa kuku hawakukauka/kuiva vizuri sijui nilikosea wapi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mlongo n vitu gan hivyo?Nikuambie yaani now kuna shetani flan hivi kuna vitu ananishawishi[emoji28]
Inabidi nisifanyie kwa mama[emoji28]
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
In "maalim seif voice"[emoji6]
Unaonekana we ni lastborn Mana haiwesekani umepanga afu unarudi kwenu kufanya usafi [emoji23][emoji23][emoji23] anyway hapa mtaan kwetu Kuna chumba kinapangishwa njoo ulipe kabisa kodiMie nilishahamaga nikawa naishi geto asee,mama alinifuata kurudi home bila kupenda[emoji1787]
Sasa nipo mbali nae nawaza nisirudi mkoani nipange tu[emoji28]mwakani sasa[emoji120]
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
mie ni introvert(70%), napata shda kujichanganya na washkaji asee. unakuta nawajua kabisa fulan ana bajaji na anaeza niachia daywork ila kwenda kumwambia nakua mzito knoma asee.Uko sahihi kabisa.
So kwa aina ya kazi kama hizi za kuunga unga ambazo zinapatikana muda wowote kitaa kama tu unaweza kujichanganya, hivyo turudi katika point yetu ya msingi...jamaa kama anataka kuhamia geto ahamie tu bila kujiuliza mara mbilimbili,hayo maisha atapambana nayo hata kwa style hii.
I feel you mzee...ila at times aisee inakubidi tu ujaribu aiseemie ni introvert(70%), napata shda kujichanganya na washkaji asee. unakuta nawajua kabisa fulan ana bajaji na anaeza niachia daywork ila kwenda kumwambia nakua mzito knoma asee.
Ni vigumu sana kuiepuka hiyo hali ila hakuna namna mkuu,inakubidi tu uchangamkie fursa.mie ni introvert(70%), napata shda kujichanganya na washkaji asee. unakuta nawajua kabisa fulan ana bajaji na anaeza niachia daywork ila kwenda kumwambia nakua mzito knoma asee.