Badoo vyombo vya ndani,kapeti,meza,stuli daahKitanda na godoro laki nne inabaki laki sita.....hapo kodi ya pango hujalipa bado
Kama anataka kulala chini kwanza kwa godori tu na kapeti anapanga vizuri tu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Badoo vyombo vya ndani,kapeti,meza,stuli daahKitanda na godoro laki nne inabaki laki sita.....hapo kodi ya pango hujalipa bado
Kama anataka kulala chini kwanza kwa godori tu na kapeti anapanga vizuri tu...
Una salary au?Badoo vyombo vya ndani,kapeti,meza,stuli daah
[emoji23][emoji23]nackiaga kuna baadhi yenu ndo mpo hvyoMnatushusha sana jamani [emoji1787][emoji1787]
Kama ipi dadangJifunze na mishemsho, inasave time.
Amini mkuu ukimwi upo tena upo kwlkwlHongera sana.. ila hapo kwenye NB namimi nakuongezea N:B nyingine "UKIMWI UPO MWAAMWAMWAAA"
NdiooUna salary au?
Kuku na viazi+ ndiziKama ipi dadang
Ikibid uweke na mahitaji na hatua kwa hatua[emoji847]Kuku na viazi+ ndizi
Nyama + ndizi
Samaki
Ngoja nikusapot na ka picha' me napenda hazinipi shida sijui nianze kuandaa na species
Mbona mambo ni rahisi?Ndioo
January nitajitahidiMbona mambo ni rahisi?
Kitanda na godoro '400+
Vyombo vya kuanzia + kapeti havimalizi 200K
Kodi '300 .. 50×6
Mengine utakuwa unaendelea mdo mdo
Hapa nina million cash ila nashindwa kuhamia getto maisha magumu
Bana niulize PM pls [emoji1787][emoji1787]
Ila kitanda 250+
Godoro inchi 8 itapendeza zaidi 200K+
Stand ya jiko 100K
Kabati 2doors 280+
Kingine??
Kama huna sabb za kutoka tulia kwa mama [emoji1787][emoji1787]
Quan Lup
Chemsha kuku ukiona anakaribia kuiva wekamo viazi/ ndizi, katia karoti na hoho ukitaka.Ikibid uweke na mahitaji na hatua kwa hatua[emoji847]
Preference D.Huna haja ya kuanza na vitu vyote hivi
Cabinet yako nzuri. Naweza pata pic yake tu?Nimekutana na mtu ana milioni humu na hajui aanzie wapi, [emoji16] aisee, kwa kipato changu wakati naanza kupanga ilinihitaji miezi minne kuingiza iyo kama kipato, achana na savings na matumizi [emoji23][emoji23] na nawaambia nilikua nimenunua pallets za 20k na godoro la 100k nishalipa chumba 90k naanza maisha na jiko la mkaa pamoja na jaba mixa vibeseni na visahani, yaani kwa ujumla vyombo havikuzidi 30k na mapazia yangu, but sasa hivi nipo na progress japo kidogo ila sio kama mwanzo kwani bro uanataka kupanga nyumba nzima?
View attachment 2031389
Simtishi 🤣 kama ni wa mambo makuu 1m ni ndogo eti[emoji1787][emoji1787] mbona unamtisha
Preference D.
Kuweka godoro chini atarelax asahau kununua kitanda.
Cabinet yako nzuri. Naweza pata pic yake tu?
Maisha yanaanza na ulichonacho mimi nimeshangaa kweli ml 1 mtu unasema unaanzaje anzajeNimekutana na mtu ana milioni humu na hajui aanzie wapi, [emoji16] aisee, kwa kipato changu wakati naanza kupanga ilinihitaji miezi minne kuingiza iyo kama kipato, achana na savings na matumizi [emoji23][emoji23] na nawaambia nilikua nimenunua pallets za 20k na godoro la 100k nishalipa chumba 90k naanza maisha na jiko la mkaa pamoja na jaba mixa vibeseni na visahani, yaani kwa ujumla vyombo havikuzidi 30k na mapazia yangu, but sasa hivi nipo na progress japo kidogo ila sio kama mwanzo kwani bro uanataka kupanga nyumba nzima?
View attachment 2031389
[emoji1787][emoji1787] nyingi sana iyo pesaSimtishi [emoji1787] kama ni wa mambo makuu 1m ni ndogo eti