Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Hapa nina million cash ila nashindwa kuhamia getto maisha magumu

Nimekutana na mtu ana milioni humu na hajui aanzie wapi, [emoji16] aisee, kwa kipato changu wakati naanza kupanga ilinihitaji miezi minne kuingiza iyo kama kipato, achana na savings na matumizi [emoji23][emoji23] na nawaambia nilikua nimenunua pallets za 20k na godoro la 100k nishalipa chumba 90k naanza maisha na jiko la mkaa pamoja na jaba mixa vibeseni na visahani, yaani kwa ujumla vyombo havikuzidi 30k na mapazia yangu, but sasa hivi nipo na progress japo kidogo ila sio kama mwanzo kwani bro uanataka kupanga nyumba nzima?
IMG_1459.jpg
 
Bana niulize PM pls [emoji1787][emoji1787]
Ila kitanda 250+
Godoro inchi 8 itapendeza zaidi 200K+
Stand ya jiko 100K
Kabati 2doors 280+
Kingine??


Kama huna sabb za kutoka tulia kwa mama [emoji1787][emoji1787]

Quan Lup

Huna haja ya kuanza na vitu vyote hivi
 
Nimekutana na mtu ana milioni humu na hajui aanzie wapi, [emoji16] aisee, kwa kipato changu wakati naanza kupanga ilinihitaji miezi minne kuingiza iyo kama kipato, achana na savings na matumizi [emoji23][emoji23] na nawaambia nilikua nimenunua pallets za 20k na godoro la 100k nishalipa chumba 90k naanza maisha na jiko la mkaa pamoja na jaba mixa vibeseni na visahani, yaani kwa ujumla vyombo havikuzidi 30k na mapazia yangu, but sasa hivi nipo na progress japo kidogo ila sio kama mwanzo kwani bro uanataka kupanga nyumba nzima?
View attachment 2031389
Cabinet yako nzuri. Naweza pata pic yake tu?
 
Nimekutana na mtu ana milioni humu na hajui aanzie wapi, [emoji16] aisee, kwa kipato changu wakati naanza kupanga ilinihitaji miezi minne kuingiza iyo kama kipato, achana na savings na matumizi [emoji23][emoji23] na nawaambia nilikua nimenunua pallets za 20k na godoro la 100k nishalipa chumba 90k naanza maisha na jiko la mkaa pamoja na jaba mixa vibeseni na visahani, yaani kwa ujumla vyombo havikuzidi 30k na mapazia yangu, but sasa hivi nipo na progress japo kidogo ila sio kama mwanzo kwani bro uanataka kupanga nyumba nzima?
View attachment 2031389
Maisha yanaanza na ulichonacho mimi nimeshangaa kweli ml 1 mtu unasema unaanzaje anzaje
 
Back
Top Bottom