Ulianzaje kukaa gheto?

Hv inawezekana kupata spika/sabufa ya kuconnect na PC maana mambo yangu nafanya kwa kujiogopa kama natumia mihadarati bhn..

NB;Ndo nmeanza maisha ya geto so usinishaur ninunue tv kipato bado
kwani kuna sabufa ambayo huwezi kuconnect na pc
 
Big up sana mkuu umeupiga mwingi,,,,hakika hata mshua moyon kwake amekubali kua ww ni kidume cha mbegu..acha tusongeshe uzi
 
Mambo ya kula tunda kimasihara[emoji1787][emoji1787]
 
 
Huyo wakupga mswaki arudi.kulala labda akiwa kwao..ila akisha hamia geto mwenyew ataamka akasake chakufanya
 
Wadau; Siku moja nitarudi na picha ya Geto yangu hapa wacha nizidi kupambania Kombe.. Sema maisha ya geto Raha sana.
[emoji41]
Kila lakheri mzee baba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…