luchelele mzunguko
JF-Expert Member
- Feb 12, 2021
- 1,206
- 1,641
Hacha kulia mkuu maisha ayajawai kua mepesiYaani maisha ni mtihani mkubwa sana kwa sisi tuliotoka familiar za kimasikini...mungu tu atusaidie .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nenda kinyerezi utanishukuru mkuu
Kumbe pacha wee n mvivu hivi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa sisi tunaokaa bachela....kupika sio inshu...inshu ni kuosha vyombo...hapo ndo napataga changamoto naona bora nikale mgahawani...lakini economically, kupika kuna save cost.
ha ha yani na enjoy , kuliko kula kwa mama ntilieHapo mkuu unakula kwa amani kabisa,ukimaliza ukila matunda yako kadhaa na maji ya kutosha aaah fresh kabisa
Nakubali mkuu...ha ha yani na enjoy , kuliko kula kwa mama ntilie
Kigamboni unapata bro, darajani paleWakuu Kwema ?
Kwa experience yangu ndogo ya kukaa gheto, kama unajipikia mwenyewe gharama itakuwa juu, labda uwe unapika kingi unahifadhi jokofuni. Unless muwe zaidi ya mmoja ndani. Ila ni bora kuliko nyumbani, utalemaa akili
Inahitaji ujasiri na commitment kweli, maana wengine bi wakubwa ndo wanataka uendelee kukaa nao[emoji23]
Kuna rafiki yangu mmoja mama yake alijifanya mpk anaumwa akaenda kulazwa kabisa kwamba presha imepanda baada ya jamaa kuamua kuondoka home[emoji23], na jamaa akakaza hivyo hivyo mwaka wa tatu saivi mama keshazoea na jamaa kaoa last year
Anyway,
Hivi nyumba ya vyumba viwili na sebule kwa laki 2 inayojitegemea, ukiachana na maeneo ya kimara mpk mbezi mwisho au na pasiwe uswazi sana.. nyumba ya namna hiyo mtu unaweza kupata mitaa ya wapi ? Naomba usaidizi katika hili wakulungwa… bila dalali lakini[emoji16]
haya unayoyazungumza me nayaishi singumzii nadharia kupika msosi wa mtu mmoja ni gharama.
huyo samaki yupi wa buku tuma hata picha tuone. Hvyo vikorombwezo vyote ukija ukipiga hesabu 4000-5000+ imwkatika.
Na zaidi ukinunua hivyo vitu utapika chakula cha kutosha utashiba sana na unaweza kukipa siku nzima ila sahani ha buku 2 hutoshiba au utashi a halafu ukovuka kizingiti cha mgahawa unaanza hisi njaa[emoji2]Chief kumbuka ukinunua hayo mahitaji uliyotaja hapo juu unatumia zaidi ya siku moja,week,mwezi mpaka miezi mfano mafuta na gesi. So kupika kuna save sana pesa pia kunakupa options za kuchagua ule nini na sio kuchaguliwa.
Mfano mimi naweza kupika mboga ya gharama za 2000 mpaka 3000 na nikaila kwa siku tatu. Mboga haifunikwi ili kuzuia isichache kama huna fridge.
Msosi naopika mimi huwa naanza kushiba kabla hata sijaumaliza[emoji2]Ila pengine tunatofautiana mi nipo geto jana nimepiga wali njegere mchana na jioni
Gharama
Njegere 1k
Nyanya 200
Vitunguu nanunua vya buku natumia week 2
Karoti za buku natumia week
Hoho za jero natumia week
Mchele nusu ambao ni kama 1000
Ongeza gas ambayo ya 23k unatumia miez 2 so almost 400 per day
Jumla hapo ni almost 3000 na nimekula msosi mtamu na wakushiba ambao kama nikienda mgahawani ningejikuta nanunua kwa 2500@ hivo 5000 per day na bado usikute nisingeshiba plus kupewa msosi wenye kasoro kibao
Haha😂😂😂Msosi naopika mimi huwa naanza kushiba kabla hata sijaumaliza[emoji2]
Kula geto raha sana
Siku ukiwa na hela tafuta nyama kilo kaanga au ichome andaa pili pili kali na ugali na ndizi pamoja maji baridi na kachumbali .
Maisha yanataka nini zaidi [emoji2]
Utashiba na kuiacha hio mboga hadi baadae au kesho
hata mimi napika home siku hz. Ishu ya gharama pia inategemeana na umetaka kula nini kwa siku hiyo. Yote kwa yote msosi wa kupika mwenyewe unabaki kuwa mzuri unapata ladha nzuri.Ila pengine tunatofautiana mi nipo geto jana nimepiga wali njegere mchana na jioni
Gharama
Njegere 1k
Nyanya 200
Vitunguu nanunua vya buku natumia week 2
Karoti za buku natumia week
Hoho za jero natumia week
Mchele nusu ambao ni kama 1000
Ongeza gas ambayo ya 23k unatumia miez 2 so almost 400 per day
Jumla hapo ni almost 3000 na nimekula msosi mtamu na wakushiba ambao kama nikienda mgahawani ningejikuta nanunua kwa 2500@ hivo 5000 per day na bado usikute nisingeshiba plus kupewa msosi wenye kasoro kibao
Tumeshakuwa kuku sisiSiwezi mwaga mchele kwenye kuku wengi
Anaendaga ghetto hy ukiona hvyoAaah basi huu uzi ww sio type yako [emoji3][emoji3][emoji3]
Big up Sana mkuu
Haupigi puchu mzee na hiyo. Tv ?