Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,230
- 6,742
Hii huwa tunaita Old trafford, Kiwanja flani hivi hatoki mtuStep no 1. Mengine yajaView attachment 2170849
Uhakika an, ligi flan hv ya kibabe inapigwa humoHii huwa tunaita Old trafford, Kiwanja flani hivi hatoki mtu
Well done mkuu[emoji122][emoji122]Step no 1. Mengine yajaView attachment 2170849
Thanks kiongozi... Nimeanza upyaaaaaaWell done mkuu[emoji122][emoji122]
Kama uwezo unao weka mkuu..hivi kigeto geto kuna haja ya tv inch 42
Mkuu 2500 X 2= 5000 + 1500 ya chai jumla elf 6500 x30 = 195000 ukiwa unajipikia huwez kununua vyakula vya kupika mwenyewe kwa Tsh 195000 kwa mwezi[emoji23][emoji23][emoji23]hamna chief, mfano wali nyama na ndondo wa buku 2500 kwa mgahawanj kwa kupika mwenyewe gharama zitazidi tu.
Babu ukianza na Mchele , plus mafuta, nyama na ndondo, viungo sijui nyanya na wenzake wakina vitunguu nk shilling ngapi mpk hapo ?
Bado hujaja umeme au gesi, plus na muda wako wa kusubiri kuivisha.
Ndo maana nasema ukiwa mwenyewe kama huna fridge la kuhifadhi chakula kingi,kupika gharama ni kubwa zaidi mzee kuliko kula mgahawanj chakula cha aina moja. Labda ugonge tu ugali na dagaa chukuchuku
Laki mbili kwa mwezi ni kubwa sana kujipikia kwa kweli. Laki mbili kwa mwanza ni bajeti ya miezi miwili kwanguMkuu 2500 X 2= 5000 + 1500 ya chai jumla elf 6500 x30 = 195000 ukiwa unajipikia huwez kununua vyakula vya kupika mwenyewe kwa Tsh 195000 kwa mwezi
leo geto, mchemsho wa samakiView attachment 2172194
Ulianza kama mie Mkuu!Step no 1. Mengine yajaView attachment 2170849
Good, toa hiyo nylonStep no 1. Mengine yajaView attachment 2170849
Kama unauwezo nunua tu, usinunue vitu vya kurudia rudiahivi kigeto geto kuna haja ya tv inch 42
kweli kabisa.. ngoja nijichange nivute kitu cha 42Kama unauwezo nunua tu, usinunue vitu vya kurudia rudia
Sh ngapi Hii KakaUnyama mwingine huo wa getoView attachment 2172648
Hii itatoka ntakapohamia rasmi mkuu[emoji23]Good, toa hiyo nylon