Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

IMG_7296.jpg

[mention]Analyse [/mention] juu ya speaker pale unaona ule mwanga?
Kwakua nmepiga kwa mwanga wa camela haionekan good
 
Ngoja nisimulie kidogo
Nilipopata kazi nje kidogo ya mji...... Huko nlikokua nnaenda palikua na ndugu yangu nkampgia kua nakuja uko ntaomba hifadh ya mwezi mmja kwako... Akasema poa karibu sana...... Dah asiniambia kua kaowa na yeye anakachumba kamoja.. Juma tatu yake nkasepa home mazima kuanza safari
Dah kufuka uko nkareport kituo cha kazi...... Kufika kwa huyo ndugu yangu akawakaniombea kwa(juma) jamaa mmja hivi niwe nalala kwake sababu jamaa hana mambo mengi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16](nadhan mmeelewa) .. Jamaa kiroho safi kakubari... Kwahyo Kula nkawa nakura kwa ndugu huyo ila kulala ndo kwa jamaa siku zingine ilinibidi kununua chakura(mke wa ndugu yangu yaani shemeji alikua mkaksi kishenzi dah mkali anakalipa mbaya)
Sasa kumbe juma nae halipi kodi yeye yupo anaelipa kodi. Anaelipa kodi na mzee mmja hivi ambapo juma anafanya kazi
Sasa siku moja mim niliwah kidog kutoka kazin nkapitia pale kazini kwa juma ili nkachukue funguo ......nkamkuta huyo mzee Nkamuelekez Kua nmefata funguo.... Dah mzee aliwaka kishenzi kwanini anaweka watu bila kunambia na yeye ndie anaelipa kodi!.... Wakat huo juma hakuwepo kazin.
Bas nkawa nipo tu kitaa nazulula[emoji16][emoji16]
Baada ya muda juma kanichek ananilaum why Nmemfuat pale kwake..... Kua yeye anafokewa dah mzee Nlijickia vibaya sana
Jion alipolud akanambia voxser eeeh mzee kakasilika hivyo inabid uwe unakuja kulala kwa machale... Ila Kwaku Sina hela sina namna kwahy nkkitok kazin saa 11 nazururaaaaaaa weeweeee[emoji23][emoji23][emoji51] hadi saa4[emoji3][emoji16][emoji3]
Sas Nkamwambi ndugu yangu ngoj nkatafute chumba ata cha elf kumi akasema acha mimi hiki chumba nachokaa nnahama wiki hi ijumaa utahamia (kod ilikua bado ya mwez mmja)
Kwer jamaa alihama akaniachia chumba ila sasa ntalalia nini! Ntalala nmesimama?? [emoji23][emoji23]
Akasepa akaniachia kikapeti na neti tu[emoji16]
Basi mwanaume nkalala apo daaaah nkawa naamka usiku nnakaa nipumzike afu nalala tena[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]
Basi baada ya wiki nkawa nahis mbavu mbili zimekatika..... Ila nkatia moyo had mwez ukaisha....nkanunua sufuria na gas nkawa nnapika ukifika muda wakulala Nnawaza itakuaje
Afu kulikua kunavidudu vinaitwa sungusungu heeeeeeeh sikiaga tu kikikuotea icho lazim uluke[emoji16][emoji3]siku kikaniotea kwenye P.... U... M... B.. U dah nilitoa na mchozi.... Sasa nkawa nalala na nguo kama wale madaktar wa ebola yaan hakuna sehem nyama ya mwili inaonekana[emoji3][emoji3][emoji3] Hatimae miez mi3 ikafika nkanunua kitanda ......had sasa n takriban miez kadhaaView attachment 1175235View attachment 1175237
Pole sana bro. Eti unaamka uoumzike.
 
Nilianza kwa Mkasa wa Ujauzito.

Nikaondoka home na Manzi akaja ghetto tulee Ujazo.

Tuliala Chini kama wiki hivi

Kisha likaja godoro kubwa kabisa QFL 6x6 inch ile ya mwisho ile tukawa juu juu. #UshambaMzigoSana

Vyombo vya kupikia in bulk vijaka then Dish la ... Then laptop then Sofa. Life ikasonga...

Within 8 months nikawa nina ujasiri wa kumkaribisha mgeni nyumbani.

Dogo akaja na Baraka zake.[emoji1431][emoji56]
Hongera sana kaka usikute kama ungemkataa na mimba yake usingefanikiwa mapema au mazima. Mama na mtoto walikuja na malango ya baraka zako.
 
Wakuu niaje hivi ni godoro gani kali la nchi kumi nataka nikinunua niwe nimemalizana nalo sio baada miaka 2 nibadilishe naomba nisaidie godoro gani zuri linalodumu la nchi 10

Sent using Jamii Forums mobile app
Nunua TANFOAM fundi bishoo hutajutia.

Ile slogani yao ya Alinunua Babu Mpaka Mjuu Analitumia sio ya uongo.

Ukiweza piga simu kiwandani wakuelekeze wapi ukachukue kwa Bei na vigezo vyako.
 
Zinapatikana kwenye maduka ya pikipik au magari
Kuhusu specific names sijajua ila me nlimwambia vitaa vya blue akanipa hivyo
Vipo vya aina 2 vingine ni kama mkanda hivi
Bei yake ni 5000 (Iringa)
Poa poa
 
Hongera sana kaka usikute kama ungemkataa na mimba yake usingefanikiwa mapema au mazima. Mama na mtoto walikuja na malango ya baraka zako.
Kabisa aisee!!! Ila asikwambie mtu Mwanzo Mgumu sana. Aaf, ukizingatia unalala chini na Mtoto wa watu mjamzito wa kiumbe chako... Aisee unakua na Hasira na Maisha qmmk yaani unatafuta hela mpaka kieleweke ukirudi home kama sio wewe kumbe umepigika sana siku hiyo na kesho tena.

Mungu Mwema Sana; Kwenye Bidii ya kweli anabariki.[emoji1431][emoji56]
 
Zinatumia umeme direct kwa kuchomeka kwenye soketi, au ni unachomeka kwenye other devices mfano spika, au subwoofer?

Hapana hizi ni 12v dc
Umeme wa nyumbn ni 220v ac ukichomeka vinaungua
Lazima uwe na adapter uwashie
Kama zile za pc au za kisimbuzi cha azam zile
Ila lazima ziwe 12v
 
Kabisa aisee!!! Ila asikwambie mtu Mwanzo Mgumu sana. Aaf, ukizingatia unalala chini na Mtoto wa watu mjamzito wa kiumbe chako... Aisee unakua na Hasira na Maisha qmmk yaani unatafuta hela mpaka kieleweke ukirudi home kama sio wewe kumbe umepigika sana siku hiyo na kesho tena.

Mungu Mwema Sana; Kwenye Bidii ya kweli anabariki.[emoji1431][emoji56]
Kabisa unajikuta unaumia mara 2 unaumizwa na msoto na mtoto wa watu alivyolala chini huku ana kiumbe chako,wote wawili hawana makosa.
 
Back
Top Bottom