azyzy omary
JF-Expert Member
- Dec 8, 2020
- 863
- 1,293
[emoji122][emoji122]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mapishi hayo,bado sana kuoa[emoji23][emoji16][emoji16]bado sana.
Home mnakosa Uhuru[emoji23]hiyo ni moja ya sababu ya kuingia mtaani
Wavivu wa kuosha vyombo mnakuwaga mnachafua vyombo kwa fujo mnavyopika.Sometimes nataka kupika ila nikifikiria vyombo tu dah mood inakata,naanza kumtafuta mama nijazie..nikifikiri vina wiki kadhaa had vimegandiana..
Laivu,kwa nini wachina wasifanye maajab yao watengeze mashine ya kuoshea vyombo!!..mbona ya kufulia waliweza?Wavivu wa kuosha vyombo mnakuwaga mnachafua vyombo kwa fujo mnavyopika.
😀😀 nimecheka sana mwenyewe anaunga zake maharage na tui la nazi yani hapo kuoa ni mtihanMkuu umekuna nazi? Au umetia wapi ilo tui 😃
Mzee, siku mambo yapo advanced, kuna mashine special za kukunia nazi, tena unakuniwa huko huko gengeni, kwa bei 100, tu... haichukui hata dk 5..Kwa hiyo unakaa kwenye kibao cha Mbuzi na kukuna nazi kabisa yaani!![emoji3]
Kuna nazi za Azam pia packet 1 kwa 1000 ziko packed, siyo ishu yaani siku hizi kwa mtu anayependa kujiweka fit kwenye msosi, hata ukienda sokoni kisamvu unatwangiwa, mchicha, chinese unakatiwa, mambo yamerahisishwa.Mzee, siku mambo yapo advanced, kuna mashine special za kukunia nazi, tena unakuniwa huko huko gengeni, kwa bei 100, tu... haichukui hata dk 5..
Home hapajawahi kuwa na uhuru labda tupe uzoefu wako wewe mawardatHome mnakosa Uhuru[emoji23]
Zile mboga za sokoni usiziamini Sana, hawaoshi vizuri kuondoa wadudu, takataka na michanga yote. Wanatumia maji yasiyo Safi/salama. Labda uwe unamfaham muuzaji.Kuna nazi za Azam pia packet 1 kwa 1000 ziko packed, siyo ishu yaani siku hizi kwa mtu anayependa kujiweka fit kwenye msosi, hata ukienda sokoni kisamvu unatwangiwa, mchicha, chinese unakatiwa, mambo yamerahisishwa.
Ya vyombo ipo,inaitwa Dish washer ipo Kama oven kubwa,unapanga sahani humo zinaoshwaLaivu,kwa nini wachina wasifanye maajab yao watengeze mashine ya kuoshea vyombo!!..mbona ya kufulia waliweza?
Ni kweli kabisa kama kisamvu unaweza kukuta vi kinokono vidogo wanatwangia ndani, nilisema kukolezea jinsi mambo yalivyorahisishwa, binafsi mimi mboga huoshea nyumbani.Zile mboga za sokoni usiziamini Sana, hawaoshi vizuri kuondoa wadudu, takataka na michanga yote. Wanatumia maji yasiyo Safi/salama. Labda uwe unamfaham muuzaji.
[emoji16][emoji16]ntaoa tu, ntaoa tu kusema kwel ntaoa tuKwa mapishi hayo,bado sana kuoa[emoji23]
Ukifika geto, unaosha tena bobZile mboga za sokoni usiziamini Sana, hawaoshi vizuri kuondoa wadudu, takataka na michanga yote. Wanatumia maji yasiyo Safi/salama. Labda uwe unamfaham muuzaji.
Dona gani hili? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lunch served[emoji120]View attachment 2242069
Natoroka kulipa bili nakimbilia kwa mshkaji wangu nakutana na mshkaji wangu naye anatoroka kulipa bili anakuja kwangu.
Tukaenda zetu kukaa baharini kuanzia asubuhi mpaka saa nne usiku tukaenda kulala kwa mshkaji wetu mwingine na ndiyo tumeamka hapa.
Laivu,kwa nini wachina wasifanye maajab yao watengeze mashine ya kuoshea vyombo!!..mbona ya kufulia waliweza?