Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Vijana wameamua kukomaa kitaa mpaka kieleweke, japo kwenye upambanaji unapoona umezidiwa mashambulizi na mpinzani wako unaamua kuretreat ili ujipange upya inakuwa siyo udhaifu bali kupata muda wa kusoma mbinu za adui yako ili urudi upambane naye.

Maisha siku zote ni mapambano kuna kupiga, kuna kupigwa, kuna kupata matokeo suluhu na kukubaliano nayo.

Ila mbishi na mpambanaji asiyechoka na kukata tamaa ndiye siku zote hushinda.
Well said mkuu[emoji119]
 
Back
Top Bottom