mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
BadoMtaani kugumu! Hamna alierudisha mpira kwa kipa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BadoMtaani kugumu! Hamna alierudisha mpira kwa kipa?
Jumaa Mubarak[emoji173]Hahaha life la kininja
Khair Mubarak [emoji3590]Jumaa Mubarak[emoji173]
We utaoa kweli? Naona tui la Nazo hapo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Jamaa hawezi oa hivi karibuni. Anaweka hadi Nazi kwenye wali?? [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mkuu umekuna nazi? Au umetia wapi ilo tui [emoji2]
Ni kweli kabisaUkikutana na mshua ana roho mbaya halafu kicheche mbaya pengine analipizia hustle alizokomaa nazo kabla hajakaa kwenye reli
RecipesTaja Ingredients mkuu kwanza, kesho nikitoka mzigoni nishushe Kama hii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
nazi nakuniwa huko huko gengeniMkuu unapata vp muda wa kukunwa nazi
Kila mwaka, naghairi kuoa,We utaoa kweli? Naona tui la Nazo hapo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji16][emoji16]bado sana.Utaoa lini?
Well said mkuu[emoji119]Vijana wameamua kukomaa kitaa mpaka kieleweke, japo kwenye upambanaji unapoona umezidiwa mashambulizi na mpinzani wako unaamua kuretreat ili ujipange upya inakuwa siyo udhaifu bali kupata muda wa kusoma mbinu za adui yako ili urudi upambane naye.
Maisha siku zote ni mapambano kuna kupiga, kuna kupigwa, kuna kupata matokeo suluhu na kukubaliano nayo.
Ila mbishi na mpambanaji asiyechoka na kukata tamaa ndiye siku zote hushinda.
hiyo ni moja ya sababu ya kuingia mtaaniKinachowakimbizaga home ni hicho tu.......[emoji41]
Nunua kitanda kijana.
Kwa hiyo unakaa kwenye kibao cha Mbuzi na kukuna nazi kabisa yaani!![emoji3]
Kwanza ncheke[emoji38][emoji38]Mimi nipo kwa shemeji.
Pamoja sana mkuu [emoji120][emoji120][emoji120]Well said mkuu[emoji119]
Sometimes nataka kupika ila nikifikiria vyombo tu dah mood inakata,naanza kumtafuta mama nijazie..nikifikiri vina wiki kadhaa had vimegandiana..Muone controla atakupa muongozo jinsi ya kuosha vyombo[emoji2440][emoji2440]