Ulianzaje kukaa gheto?

Hii kitu sio powa .. ilishawah tokea wakt huo naishi kigambon (tuangoma) pis ika request toka kimara nikichek geton kuna unga na mfukon buk2.. pis ikaja kwa fee yake ikijua mm niko vyema bana bana.... Mwsho wa picha pis anataka nauli alaf dem mchaga sasa nikipiga hesabu dukan kwa muhu nina ngeu wadau wangu nao hali mbaya afadhali yangu....na ile buk 2 nilinunua mboga jana yake ... Hahaha niishie hapa mana kilichotokea mpk leo dem hanisemeshi
 

akili za wanachuo

Huyo dem nae mbuzi si angepanda Mwendo Kasi Uber kimara- Kigambon pesa mingi hiyo

na kama yuko financially vizur si alipe arudi au ndio sister duh maisha magumu[emoji28]
 
Sijui aisee,, we ukifika dukani waambia wakuwashie zote utakazo ili ufanye comparison ya picha nk

Ila hizo wanasemaga star X ni afadhali kuliko kina aborder or sundar…
Nimefanikiwa kununua HISENSE mkuu,ingawa bei yake iko juu kidogo,ila iko poa sana. Nitatupia kapicha humu wadau wakiidhinisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…