Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Wayback 2003
Sina life ,Mimi ndiyo mtoto wa kiume ukizingatia bi mkubwa Hana maisha.
Anaishi chumba kimoja.
Ikabidi ni drop kwa bibi ambaye hakuwa ndugu zaidi ya ubibi wa dar haha SI mnaujua ulee wa bibi bibiii.

Nikawa na chill pale ki bishi bishi, siku nyingine nikienda mara mlango umefungwa mara naambiwa nirudi nilipotoka hahaha walikuwa wanalala saa 1. Na Mimi muda huo ndo nakuwa natafuta Dala za kugeukia home .

[emoji16]Siku 1 kama kawaida, nimerudi kwa bibi wa kubatizwa, nikadandia dirisha na kuanza kumuita dogo anifungulie dogo akaropokaa "ahah jamaa unazingua bhna, hapa hakuna mkeo ulitumwa uzaliwe masikini[emoji57]"

Haha mwamba yale maneno yakanichoma, kesho yake mapema nikaamsha kusiko julikana.

Piga sana kazi za mitaro mixer kubeba vifusi nikawa sichagui kazi. Ndani ya mwezi nikaingia ghetto.[emoji16]

Unyama ukawa mwingi likawa siyo ghetto Bali sehemu ya kuchinjia wanafunzi.

Manzi alipewa mimba,piraa likatimba skani tukasombwa wote..
Ile siku selo niliumia sana!!

Kesi nikawa Sina,maana me niliwapa wadau tu ghetto wawe wanalitumia kuchinjia.

Nikaona hapa msala nikahama mkoa mwengine.
Piga sana saidia fundi. Nikawa fundi njaa.
Jah aka bless nikawa na ghetto langu na Mimi official.
Jina likakuwa nikawa na Kila aina ya material ndani ya ghetto. Hamu ikasogea ya kuwa na chumba nasebu. Nikaona uduwanzi hiyo pesa nikaidundulia nikanunua kiwanja.

Material natolea wapi wakati me fundi maiko bhna.
Ndani ya miezi 4 nikawa nachumba mixer sebu ya kishkaji fundi mwenyewe material nimeokoteza site.

[emoji16]cut story.
Dogo aliyenifukuza kwa bibi yake Ali ni inspire sanaa n Nina mshukuru Hadi kesho namuona kama malaika wangu ambaye alitumwa kuniamsha toka kwenye usingzii wa kubweteka.
Kulipa fadhira dogo nilimsomesha na nikamuingiza kwenye kampuni yangu ya ujenzi.

Hadi leo hajuhi KWANINI namjali na kumpenda Sanaa na hiyo sababu sijawah kumpa zaidi ya wife tu.
Asee huyo dogo kaupiga mwingi sana mkuu [emoji119][emoji23]
 
1st time nasoma hii thread nilikua nakaa kwa bro baada ya kumaliza chuo (2018),nilikua intern kwenye moja ya processing plants huko Geita.

2019 mwishoni bro akawa anavuta jiko hivo kwa kunionea huruma akaniachia baadhi ya vitu kama kitanda na sofa moja la watu wawil na tv 24",ila asikwambie mtu unapiga intern hulipwi cha maana zaidi ya nauli na kuambulia kula hapo kazini,mambo yakawa tight kinoma kodi ikaanza kupiga chenga,nikiwaza kurudisha mpira kwa kipa naona jau,nikaamua kupambana hivo kwa msaada wa bro(kumpiga vizinga vya hapa na pale)

Mungu mkubwa 2021 mwanzoni nikawa nimeitiwa kijinafasi cha kujishkuza kwenye moja ya machimbo mikoa ya kusini,hapo ni mimi na kibegi changu cha mgongonj shuka la kimasai la kujifunika,PC yangu na simu nokia kitochi maana hata Samsung niliotoka nayo chuo nilishauza kwa wakati huo kupunguza ukali wa msoto.

Hapo machimboni nilikua naishi kibishi sana,unalala sehemu wanaziita matanda (watu wa migodinj wanaelewa),nimeweka turubai na kuzungushia kibanda mianzi,afu godoro la sufi nilinunua Nachingwea town Tsh 15k.Sikuwahi hata siku moja kujikweza na kujionaa labda m ni graduate nna ki degree,sasa katika kufahimana na watu,nikaanza kupata deals za kuchenjua (ndio taaluma yangu) kwenye processing plant kama mkemia.Hela ya kwanza ya maana kupata nikapanga chumba Nachingwea mjini,nikanunua smart ili nirudi mjini maana mambo nowadays yako digitalized,godoro na mkeka na kiredio cha bluetooth life likaanza.
View attachment 2280060

Kupitia hio nafasi hapo machimboni niliweza pia kujuana na watu wengi sana na kupitia hao watu nikafanikiwa kupata kazi (yenye maslahi mazuri kwa upande wangu) na kwa sasa walau nauona mwanga,nipo ghetto napambania kombe taratibu,weekends kama hivi unashinda unacheza games plus movies maana msimu wa football ndo umeishia hivo.

NB:Kukata tamaa na kurudisha mpira kwa kipa haipaswi kua option yako no 1.Jah Bless


View attachment 2279846
Asee big up sana mkuu[emoji119][emoji119]
 
Nilipomaliza chuo 2018 nlirud nyumban lakin wazaz wangu walikuw hawakai hapo waliish mkoa mwngne kikazi...

Nilipofka kwa ndugu zake mzee nlifkia kwa shangaz.

Nilishndwa maisha ya kwa aunt kwasbabu ikifika saa2 ucku hujarud mlango unafungwa nkaona aya maisha sio kabsa nkaamua kushare ghetto moja na washkaj wawil jumla watatu lakin mmilik wa ilo ghetto mmoja tu mi na mwenzang tulipga kitonga...

Cku zlivyoenda yule mweny ghetto akatuambia anatka kuoa ikabdi tuchek utaratbu wa kuhama.

Mwenzang ambae pia hakuw mmilik wa lile ghetto akaachiwa chumba na mjomba ake kwa mda usiojulkana maana alienda nje ya nchi...

Tukahamia apo na mshikaj,,, mara mshkaj akampa ujauzito dem X wazaz wa mwanamk wakamwambia jamaa akae na mwanamke had atakapojfungua mamb mengne yatafuata...

Kichwa kikaanza kuwaka moto, wap niende kwasas??? Lakin kwa wakat huo nilikuw najshughulisha na biashar ndog ndog..

Aisee wazee wakubet mpo??? Cku iyo nkaweka mkeka wa elfu 1000 tu nkachagua timu 11 zenye odds mbili na point, mungu akaniona ukatiki nakumbuka nilipata laki 5 na elf 35....

Nkatafuta chumba maisha yakaendlea nam nnaghetto saiz
Kwaiyo mzee ukatokea na bet? Unyama sana mkuu [emoji119] ,heshima zimfkie muhindi [emoji23]
 
1st time nasoma hii thread nilikua nakaa kwa bro baada ya kumaliza chuo (2018),nilikua intern kwenye moja ya processing plants huko Geita.

2019 mwishoni bro akawa anavuta jiko hivo kwa kunionea huruma akaniachia baadhi ya vitu kama kitanda na sofa moja la watu wawil na tv 24",ila asikwambie mtu unapiga intern hulipwi cha maana zaidi ya nauli na kuambulia kula hapo kazini,mambo yakawa tight kinoma kodi ikaanza kupiga chenga,nikiwaza kurudisha mpira kwa kipa naona jau,nikaamua kupambana hivo kwa msaada wa bro(kumpiga vizinga vya hapa na pale)

Mungu mkubwa 2021 mwanzoni nikawa nimeitiwa kijinafasi cha kujishkuza kwenye moja ya machimbo mikoa ya kusini,hapo ni mimi na kibegi changu cha mgongonj shuka la kimasai la kujifunika,PC yangu na simu nokia kitochi maana hata Samsung niliotoka nayo chuo nilishauza kwa wakati huo kupunguza ukali wa msoto.

Hapo machimboni nilikua naishi kibishi sana,unalala sehemu wanaziita matanda (watu wa migodinj wanaelewa),nimeweka turubai na kuzungushia kibanda mianzi,afu godoro la sufi nilinunua Nachingwea town Tsh 15k.Sikuwahi hata siku moja kujikweza na kujionaa labda m ni graduate nna ki degree,sasa katika kufahimana na watu,nikaanza kupata deals za kuchenjua (ndio taaluma yangu) kwenye processing plant kama mkemia.Hela ya kwanza ya maana kupata nikapanga chumba Nachingwea mjini,nikanunua smart ili nirudi mjini maana mambo nowadays yako digitalized,godoro na mkeka na kiredio cha bluetooth life likaanza.
View attachment 2280060

Kupitia hio nafasi hapo machimboni niliweza pia kujuana na watu wengi sana na kupitia hao watu nikafanikiwa kupata kazi (yenye maslahi mazuri kwa upande wangu) na kwa sasa walau nauona mwanga,nipo ghetto napambania kombe taratibu,weekends kama hivi unashinda unacheza games plus movies maana msimu wa football ndo umeishia hivo.

NB:Kukata tamaa na kurudisha mpira kwa kipa haipaswi kua option yako no 1.Jah Bl

1st time nasoma hii thread nilikua nakaa kwa bro baada ya kumaliza chuo (2018),nilikua intern kwenye moja ya processing plants huko Geita.

2019 mwishoni bro akawa anavuta jiko hivo kwa kunionea huruma akaniachia baadhi ya vitu kama kitanda na sofa moja la watu wawil na tv 24",ila asikwambie mtu unapiga intern hulipwi cha maana zaidi ya nauli na kuambulia kula hapo kazini,mambo yakawa tight kinoma kodi ikaanza kupiga chenga,nikiwaza kurudisha mpira kwa kipa naona jau,nikaamua kupambana hivo kwa msaada wa bro(kumpiga vizinga vya hapa na pale)

Mungu mkubwa 2021 mwanzoni nikawa nimeitiwa kijinafasi cha kujishkuza kwenye moja ya machimbo mikoa ya kusini,hapo ni mimi na kibegi changu cha mgongonj shuka la kimasai la kujifunika,PC yangu na simu nokia kitochi maana hata Samsung niliotoka nayo chuo nilishauza kwa wakati huo kupunguza ukali wa msoto.

Hapo machimboni nilikua naishi kibishi sana,unalala sehemu wanaziita matanda (watu wa migodinj wanaelewa),nimeweka turubai na kuzungushia kibanda mianzi,afu godoro la sufi nilinunua Nachingwea town Tsh 15k.Sikuwahi hata siku moja kujikweza na kujionaa labda m ni graduate nna ki degree,sasa katika kufahimana na watu,nikaanza kupata deals za kuchenjua (ndio taaluma yangu) kwenye processing plant kama mkemia.Hela ya kwanza ya maana kupata nikapanga chumba Nachingwea mjini,nikanunua smart ili nirudi mjini maana mambo nowadays yako digitalized,godoro na mkeka na kiredio cha bluetooth life likaanza.
View attachment 2280060

Kupitia hio nafasi hapo machimboni niliweza pia kujuana na watu wengi sana na kupitia hao watu nikafanikiwa kupata kazi (yenye maslahi mazuri kwa upande wangu) na kwa sasa walau nauona mwanga,nipo ghetto napambania kombe taratibu,weekends kama hivi unashinda unacheza games plus movies maana msimu wa football ndo umeishia hivo.

NB:Kukata tamaa na kurudisha mpira kwa kipa haipaswi kua option yako no 1.Jah Bless


View attachment 2279846
Hongera sana Mkuu,mapambano yaendelee.
 
We ni fala yani geto unaanza na sobu wufa wenzio tulianza na mkeka na sufuria moja,kikombe kimoja,kijiko kimoja,jiko moja la mchina kerosene,ndoo mbili tu.Hujakaa geto wewee sema ulikuwa unaishi maisha ya chuo.
 
Wayback 2003
Sina life ,Mimi ndiyo mtoto wa kiume ukizingatia bi mkubwa Hana maisha.
Anaishi chumba kimoja.
Ikabidi ni drop kwa bibi ambaye hakuwa ndugu zaidi ya ubibi wa dar haha SI mnaujua ulee wa bibi bibiii.

Nikawa na chill pale ki bishi bishi, siku nyingine nikienda mara mlango umefungwa mara naambiwa nirudi nilipotoka hahaha walikuwa wanalala saa 1. Na Mimi muda huo ndo nakuwa natafuta Dala za kugeukia home .

[emoji16]Siku 1 kama kawaida, nimerudi kwa bibi wa kubatizwa, nikadandia dirisha na kuanza kumuita dogo anifungulie dogo akaropokaa "ahah jamaa unazingua bhna, hapa hakuna mkeo ulitumwa uzaliwe masikini[emoji57]"

Haha mwamba yale maneno yakanichoma, kesho yake mapema nikaamsha kusiko julikana.

Piga sana kazi za mitaro mixer kubeba vifusi nikawa sichagui kazi. Ndani ya mwezi nikaingia ghetto.[emoji16]

Unyama ukawa mwingi likawa siyo ghetto Bali sehemu ya kuchinjia wanafunzi.

Manzi alipewa mimba,piraa likatimba skani tukasombwa wote..
Ile siku selo niliumia sana!!

Kesi nikawa Sina,maana me niliwapa wadau tu ghetto wawe wanalitumia kuchinjia.

Nikaona hapa msala nikahama mkoa mwengine.
Piga sana saidia fundi. Nikawa fundi njaa.
Jah aka bless nikawa na ghetto langu na Mimi official.
Jina likakuwa nikawa na Kila aina ya material ndani ya ghetto. Hamu ikasogea ya kuwa na chumba nasebu. Nikaona uduwanzi hiyo pesa nikaidundulia nikanunua kiwanja.

Material natolea wapi wakati me fundi maiko bhna.
Ndani ya miezi 4 nikawa nachumba mixer sebu ya kishkaji fundi mwenyewe material nimeokoteza site.

[emoji16]cut story.
Dogo aliyenifukuza kwa bibi yake Ali ni inspire sanaa n Nina mshukuru Hadi kesho namuona kama malaika wangu ambaye alitumwa kuniamsha toka kwenye usingzii wa kubweteka.
Kulipa fadhira dogo nilimsomesha na nikamuingiza kwenye kampuni yangu ya ujenzi.

Hadi leo hajuhi KWANINI namjali na kumpenda Sanaa na hiyo sababu sijawah kumpa zaidi ya wife tu.
Duuuh pole na hongera kwa mapambano yenye kheri,,

Mafundi bana,kuna injinia akitaka kujenga anasema anachogharamia yeye maji tu[emoji23][emoji23]
 
Wakuu mwisho wa mwezi huu natarajia kuvuta TV 32 inches na king'amuzi. Naombeni ushauri wenu juu ya brand nzuri za TV,katika king'amuzi nimeamua kununua Azam,pia nitanunua DSTV mwanzoni mwa mwezi kwasababu mimi ni mtu wa Football.
Dstv gharama mzee, tafuta hata Canal Sport ukishindwa nunua Tv Smart kisha simu yako kama ni Samsung au Infinix kisha unganisha ucheki mpira kupitia simu
 
Nakumbuka baada ya kumaliza Chuo sikurejea home tena kama makazi. Bali home ilibaki kwenda kusabah wazee nk nikalowea mtaani na room mate. Room mate huyu namuombea tu lkn nakumbuka yeye ndie wa kwanza kupata kibarua. Akawa anahudumia umeme,Kodi na maji kila mtu alinunua anapohitaji. Chakula akawa ananisaidia (wkt nikiwa alolo, nikawa siachi kuhangaika..)(namshukuru Sana mate). Wkt ule si kama wkt wa Sasa mnamaliza manakaaa Sana kitaa.

Basi siku moja nimetoka kwenye kuhangaika, nakuta kitanda na godoro jamaa kasepa, siku hiyo niliolala chini kwenye vibox vilivyokuweoo mule ndani, nikajilaza, kwa kuwa majirani tuliheshimiana sana, niliji alert kuhakikisha sipotezi muda, na Kwa kuwa nikipata kazi mkoa, nikipanda basi haraka, mkoani.

Siku moja nikirejea DSM nikiwa na Kodi yangu na kuhamia kwenye vyumba viwili vikivyopanga na dalali wangu(Mungu Amrehemu)maeneo ya sinza.
Baadae maisha yakaanza, nilirejea Jijini na kazi ilihamia mjini pia


Ila jamaa aliniacha bila kuniaga. Nilielewa tu hakuwa anapenda maisha ya KUPE. nakwakweli nilikuwa chawa😅😅 ilihitaji awe ndg w la damu Ili aweze kunivumilia
 
We ni fala yani geto unaanza na sobu wufa wenzio tulianza na mkeka na sufuria moja,kikombe kimoja,kijiko kimoja,jiko moja la mchina kerosene,ndoo mbili tu.Hujakaa geto wewee sema ulikuwa unaishi maisha ya chuo.
Kuna watu wanafurahisha kweli yaani hata kitanda au godoro hana ila ananunia sabufa[emoji2]au kabati la vyombo[emoji1787][emoji1787]
 
Daaahh hii ilinikuta kifuku Cha 2022, manzi yangu ilinimisi, alikua anatoka mbeya anaenda songea, akaniuliza Kama apitie makambako akae siku 2 ndo aende, mazee nilichomoa nikamwambia sipo Niko porini job. Akapita, anaporudi nikachomoa Tena, akamind Sana, akajua nilikua na michepuko yangu tu. Kumbe mzee baba mishe haziendi pesa Sina. Sijanyoa nywele Wala ndevu yaani nipo tu sieleweki na mvua zinapiga balaa.
Baaada ya kitambo kupita ndio nikamwambia kua m nilikua sieleweki kabisa niliogopa nisije shindwa kukupa hata nauli ya kurudia kwenu. Ingawa alimind pia, kua hua haitaji hela kwangu, lkn kiutu uzima tu ilibidi nisimsumbue.
[emoji16][emoji16] daah umenikumbusha imenitokea tu mwezi wa 3 hapo mwaka huu GF wangu alikuja dar ila alifkia kwanza kwa aunt yake.Maana aliniambia anaitaji apajue

sikuzote huwa anakujaga halafu hawaonani na ndugu zake sasa kakaa almost wiki 2 kwa aunt yake target yake ilikuwa wiki mbili zijazo kukamikisha mwezi aje kumalizia kwangu.

Akaniambia anahitaji kuja ikabidi nimtose tu kuwa naenda kujengea kaburi la babu na mimi ndo mjukuu pekee nilioteuliwa kwenda kulijengea kaburi lake maana mfukoni sielewi kazini bado hayaeleweki bado izo wiki mbili ambazo angekuja kuzimalizia kuna yeye Kula,kutoka out,nauli yake mambo kibao.

Najua alimind sana tu sababu alivokuja tumeonana mara 3 tu,eid ya kwanza alinitext tu hangout nikampa kasababu yote kwa yote mda mwingine hawa dada zetu wanaona tunawakataa wanatufikiriaga vibaya ila mara nyingi hali zetu huwa mbaya mifukoni.
 
Back
Top Bottom