Merchante
JF-Expert Member
- May 9, 2017
- 1,365
- 2,842
Azam uhakika? TV nimenunua ila sio smart,tatzo linaanzia hapo. Dstv kifurushi cha mpira bei gani? Azam wanonesha League za ndani na Bundesliga tu.Dstv gharama mzee, tafuta hata Canal Sport ukishindwa nunua Tv Smart kisha simu yako kama ni Samsung au Infinix kisha unganisha ucheki mpira kupitia simu