Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

[emoji16][emoji16] daah umenikumbusha imenitokea tu mwezi wa 3 hapo mwaka huu GF wangu alikuja dar ila alifkia kwanza kwa aunt yake.Maana aliniambia anaitaji apajue

sikuzote huwa anakujaga halafu hawaonani na ndugu zake sasa kakaa almost wiki 2 kwa aunt yake target yake ilikuwa wiki mbili zijazo kukamikisha mwezi aje kumalizia kwangu.

Akaniambia anahitaji kuja ikabidi nimtose tu kuwa naenda kujengea kaburi la babu na mimi ndo mjukuu pekee nilioteuliwa kwenda kulijengea kaburi lake maana mfukoni sielewi kazini bado hayaeleweki bado izo wiki mbili ambazo angekuja kuzimalizia kuna yeye Kula,kutoka out,nauli yake mambo kibao.

Najua alimind sana tu sababu alivokuja tumeonana mara 3 tu,eid ya kwanza alinitext tu hangout nikampa kasababu yote kwa yote mda mwingine hawa dada zetu wanaona tunawakataa wanatufikiriaga vibaya ila mara nyingi hali zetu huwa mbaya mifukoni.
Kweli kabisa mkuu
 
Wakaka

Pendeni mageto yenu,panga vitu vizuri sio unaishi chumba kama kwa fundi kushona nguo unaweka hovyo,vyombo hovyo vinavundiana na mauchafu,

Nyie ni wavivu kuosha vyombo,hivyo nawashauri msinunue vyombo vingi,nunua tu vya muhimu,,
 
[emoji16][emoji16] daah umenikumbusha imenitokea tu mwezi wa 3 hapo mwaka huu GF wangu alikuja dar ila alifkia kwanza kwa aunt yake.Maana aliniambia anaitaji apajue

sikuzote huwa anakujaga halafu hawaonani na ndugu zake sasa kakaa almost wiki 2 kwa aunt yake target yake ilikuwa wiki mbili zijazo kukamikisha mwezi aje kumalizia kwangu.

Akaniambia anahitaji kuja ikabidi nimtose tu kuwa naenda kujengea kaburi la babu na mimi ndo mjukuu pekee nilioteuliwa kwenda kulijengea kaburi lake maana mfukoni sielewi kazini bado hayaeleweki bado izo wiki mbili ambazo angekuja kuzimalizia kuna yeye Kula,kutoka out,nauli yake mambo kibao.

Najua alimind sana tu sababu alivokuja tumeonana mara 3 tu,eid ya kwanza alinitext tu hangout nikampa kasababu yote kwa yote mda mwingine hawa dada zetu wanaona tunawakataa wanatufikiriaga vibaya ila mara nyingi hali zetu huwa mbaya mifukoni.
Sasa si unamueleza tu ukweli,atajua yeye kusuka au kunyoa,

Sema kama ulimzoesha pesa,lazima uteseke na ukikaa vibaya wajuba watakusaidia.
 
Wakaka

Pendeni mageto yenu,panga vitu vizuri sio unaishi chumba kama kwa fundi kushona nguo unaweka hovyo,vyombo hovyo vinavundiana na mauchafu,

Nyie ni wavivu kuosha vyombo,hivyo nawashauri msinunue vyombo vingi,nunua tu vya muhimu,,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] store??
 
Wakaka

Pendeni mageto yenu,panga vitu vizuri sio unaishi chumba kama kwa fundi kushona nguo unaweka hovyo,vyombo hovyo vinavundiana na mauchafu,
c
Nyie ni wavivu kuosha vyombo,hivyo nawashauri msinunue vyombo vingi,nunua tu vya muhimu,,
Huwa nanunua takeaway tuu hii mambo ya kuosha vyombo mpaka Mama j awe karibu



Ila hii ishu ya vyombo kwa wanaume Nadhan ni Laana kutoka kwa mitumee😂😂😂😂😂
 
Toa maelekezo mkuu, kwa faida ya wote humu waliofunga tv zao ukutani/au wanaofikiria kununua tv then wazifunge ukutani.

Utakuwa umesaidia sana!
Ingia YouTube search Tv cable management,utaona jinsi ya kuficha nyaya
 
Back
Top Bottom