Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Daaahh hii ilinikuta kifuku Cha 2022, manzi yangu ilinimisi, alikua anatoka mbeya anaenda songea, akaniuliza Kama apitie makambako akae siku 2 ndo aende, mazee nilichomoa nikamwambia sipo Niko porini job. Akapita, anaporudi nikachomoa Tena, akamind Sana, akajua nilikua na michepuko yangu tu. Kumbe mzee baba mishe haziendi pesa Sina. Sijanyoa nywele Wala ndevu yaani nipo tu sieleweki na mvua zinapiga balaa.
Baaada ya kitambo kupita ndio nikamwambia kua m nilikua sieleweki kabisa niliogopa nisije shindwa kukupa hata nauli ya kurudia kwenu. Ingawa alimind pia, kua hua haitaji hela kwangu, lkn kiutu uzima tu ilibidi nisimsumbue.
Hii kitu sio powa .. ilishawah tokea wakt huo naishi kigambon (tuangoma) pis ika request toka kimara nikichek geton kuna unga na mfukon buk2.. pis ikaja kwa fee yake ikijua mm niko vyema bana bana.... Mwsho wa picha pis anataka nauli alaf dem mchaga sasa nikipiga hesabu dukan kwa muhu nina ngeu wadau wangu nao hali mbaya afadhali yangu....na ile buk 2 nilinunua mboga jana yake ... Hahaha niishie hapa mana kilichotokea mpk leo dem hanisemeshi
 
Hii kitu sio powa .. ilishawah tokea wakt huo naishi kigambon (tuangoma) pis ika request toka kimara nikichek geton kuna unga na mfukon buk2.. pis ikaja kwa fee yake ikijua mm niko vyema bana bana.... Mwsho wa picha pis anataka nauli alaf dem mchaga sasa nikipiga hesabu dukan kwa muhu nina ngeu wadau wangu nao hali mbaya afadhali yangu....na ile buk 2 nilinunua mboga jana yake ... Hahaha niishie hapa mana kilichotokea mpk leo dem hanisemeshi

akili za wanachuo

Huyo dem nae mbuzi si angepanda Mwendo Kasi Uber kimara- Kigambon pesa mingi hiyo

na kama yuko financially vizur si alipe arudi au ndio sister duh maisha magumu[emoji28]
 
Mdogo mdogo naanzaa
IMG_20220625_074311.jpg


Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom