Azam uhakika? TV nimenunua ila sio smart,tatzo linaanzia hapo. Dstv kifurushi cha mpira bei gani? Azam wanonesha League za ndani na Bundesliga tu.Dstv gharama mzee, tafuta hata Canal Sport ukishindwa nunua Tv Smart kisha simu yako kama ni Samsung au Infinix kisha unganisha ucheki mpira kupitia simu
Kweli kabisa mkuu[emoji16][emoji16] daah umenikumbusha imenitokea tu mwezi wa 3 hapo mwaka huu GF wangu alikuja dar ila alifkia kwanza kwa aunt yake.Maana aliniambia anaitaji apajue
sikuzote huwa anakujaga halafu hawaonani na ndugu zake sasa kakaa almost wiki 2 kwa aunt yake target yake ilikuwa wiki mbili zijazo kukamikisha mwezi aje kumalizia kwangu.
Akaniambia anahitaji kuja ikabidi nimtose tu kuwa naenda kujengea kaburi la babu na mimi ndo mjukuu pekee nilioteuliwa kwenda kulijengea kaburi lake maana mfukoni sielewi kazini bado hayaeleweki bado izo wiki mbili ambazo angekuja kuzimalizia kuna yeye Kula,kutoka out,nauli yake mambo kibao.
Najua alimind sana tu sababu alivokuja tumeonana mara 3 tu,eid ya kwanza alinitext tu hangout nikampa kasababu yote kwa yote mda mwingine hawa dada zetu wanaona tunawakataa wanatufikiriaga vibaya ila mara nyingi hali zetu huwa mbaya mifukoni.
NakaziaKweli kabisa mkuu
Ongeza TCL hapo mkuu.Brand nzur n km LG,HISENCE,SAMSUNG n mfuko wako tu mkuu
Mkuu unaweza ukafunga ukutani na husione nyaya.Ukitaka usione nyaya inabidi usifunge Tv ukutani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahAliona labda pesa zipo,nilimpa buku 5,nikamwambia niachie namba nitakutumia
43 Inch..Inchi ngapi hiyo tv?
Toa maelekezo mkuu, kwa faida ya wote humu waliofunga tv zao ukutani/au wanaofikiria kununua tv then wazifunge ukutani.Mkuu unaweza ukafunga ukutani na husione nyaya.
Sasa si unamueleza tu ukweli,atajua yeye kusuka au kunyoa,[emoji16][emoji16] daah umenikumbusha imenitokea tu mwezi wa 3 hapo mwaka huu GF wangu alikuja dar ila alifkia kwanza kwa aunt yake.Maana aliniambia anaitaji apajue
sikuzote huwa anakujaga halafu hawaonani na ndugu zake sasa kakaa almost wiki 2 kwa aunt yake target yake ilikuwa wiki mbili zijazo kukamikisha mwezi aje kumalizia kwangu.
Akaniambia anahitaji kuja ikabidi nimtose tu kuwa naenda kujengea kaburi la babu na mimi ndo mjukuu pekee nilioteuliwa kwenda kulijengea kaburi lake maana mfukoni sielewi kazini bado hayaeleweki bado izo wiki mbili ambazo angekuja kuzimalizia kuna yeye Kula,kutoka out,nauli yake mambo kibao.
Najua alimind sana tu sababu alivokuja tumeonana mara 3 tu,eid ya kwanza alinitext tu hangout nikampa kasababu yote kwa yote mda mwingine hawa dada zetu wanaona tunawakataa wanatufikiriaga vibaya ila mara nyingi hali zetu huwa mbaya mifukoni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] store??Wakaka
Pendeni mageto yenu,panga vitu vizuri sio unaishi chumba kama kwa fundi kushona nguo unaweka hovyo,vyombo hovyo vinavundiana na mauchafu,
Nyie ni wavivu kuosha vyombo,hivyo nawashauri msinunue vyombo vingi,nunua tu vya muhimu,,
Kuna wakaka wengine ni wachafu tu asili yao,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] store??
Huwa nanunua takeaway tuu hii mambo ya kuosha vyombo mpaka Mama j awe karibuWakaka
Pendeni mageto yenu,panga vitu vizuri sio unaishi chumba kama kwa fundi kushona nguo unaweka hovyo,vyombo hovyo vinavundiana na mauchafu,
c
Nyie ni wavivu kuosha vyombo,hivyo nawashauri msinunue vyombo vingi,nunua tu vya muhimu,,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareee tupu.Kuna wakaka wengine ni wachafu tu asili yao,
Unachimbia bomba ukutani. Waya zote zinapita ndani ya hio bomba zinatokea nyuma ya TV au deck.Toa maelekezo mkuu, kwa faida ya wote humu waliofunga tv zao ukutani/au wanaofikiria kununua tv then wazifunge ukutani.
Utakuwa umesaidia sana!