Ulianzaje kukaa gheto?

Apo ndio mwisho?
 
Naweka kituo nitarudi
 
Mkuu una madini mengi sana, shukrani kwa ushauri wako.
 

Sema unatoka mbeya na ulikua unasoma SAUT na ulikua unaishi Kati ya Nyamalango,sweya,masha au nganza

Katika vyuo wanafunzi wana enjoy maisha basi ni wanafunzi wa SAUT mbali na tabu za masomo mengi chuoni ila nje ya chuo maisha ni matam SAUT aisee na yanakuruhusu kujijenga kimaisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…