Ulianzaje kukaa gheto?

Hongera mkuu
 
Yote haya ya nn? Siwezi ishi nyumba yenye watu zaidi ya wa 4. Full stop.
Afu sipendi uswahili mie.
Nina rafiki yangu anaishi nyumba ina wapangaji wawili tu yeye yupo single yule mwenzie ni mzanzibari anafamilia yaani anapanga masharti kwenye ile nyumba kama yeye ndo father house jamaa akiingiza dem ni shidah yaani full kufuatiliwa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naomba niwe mgeni wakooo.
 
Nina rafiki yangu anaishi nyumba ina wapangaji wawili tu yeye yupo single yule mwenzie ni mzanzibari anafamilia yaani anapanga masharti kwenye ile nyumba kama yeye ndo father house jamaa akiingiza dem ni shidah yaani full kufuatiliwa
Khaaaaah si amchane makavu, lol. Kodi analipiwa au?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Leo nimeambiwa hapa mtaani ninapokaa kuna mnada wa vitu mbalimbali vya matumizi ya nyumbani so naenda Kuhemea vitu. Nataka leo nianze kutoa vitu mwenyewe. Kuanzia juzi hela ya kula imekwenda nyingi sana.
 
Kizuri,hongera
Ahsante. Nilikitengeneza mwenyewe kwa ku Google. Nikakisafirisha hadi huku bush ila watu majirani wakawa wanshangaa ni nini hiki. Ila dadeki kuna work mate alikipenda tu kabla sijakipanga na kukihamishia hapa. Jumapili nimemtengeneza nae nimekula efu ishirini. Hakina mbwembe nyingi ila ukikipangilia ni hatari fire. hapa ni wakati niko namtengenezea work mate hiki hapa ndio nilikuwa natengeneza cha kwangu..
 
Ooooh hapo sasa si mpo watu na business zenu, tunsemea wale wa vyumba na choo ndan, au chumba tupu choo cha kushare watu wote, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata ikiwa hivyo kama huna maneno mengi mbona unaishi tu. Tatizo la nyumba za hivyo kunakuwa na uswahili.

Sipendi sehemu ambazo watu hufungulia subwoofers Kama wanashindana.

Hapa nilipo unaweza hisi hakuna binadamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…