cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ndo penyewee.Hata ikiwa hivyo kama huna maneno mengi mbona unaishi tu. Tatizo la nyumba za hivyo kunakuwa na uswahili.
Sipendi sehemu ambazo watu hufungulia subwoofers Kama wanashindana.
Hapa nilipo unaweza hisi hakuna binadamu