Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Sipiki mara nyingi, inshort naingia kwenye kundi la wasiopenda kupika tu.

Ila kupika najua

Sipiki sana sababu, siwezi toka kazini saa 11 karibu 12 nifike home niwaze kupika badala ya kupumzisha fuvu langu.
Afu kupika kwenyewe unapika chakula cha mtu mmoja, khaaa

Narudi na kitimoto au choma, nafika nasonga ugali nakula..
Siku nyingine nakula huko huko nikifika home ni kuoga kulala [emoji3577]

Nichoke kuzisaka doo
Na nichoshwe na vitu ndogo ndogo hivo
Nehiiii
Aiseee.

Ila vyakula vingi vya kibiashara si visafi
 
dah kama masihara vile, nilikua na kama 200K hivi, nikachomoka hadi maskani fulani hivi kuna madalali kibao yani...."oya nataka ghetto kali liwe la nje, wapangaji wawe wachache na kuwe na toi la ndani ili nikiingia na pisi kali mambo yasiwe mengi." nikaongea kwa sauti ya mamlaka.

kuna mwana mmoja akanitonya kwa dalali mmoja hivi kibonge maneno meengi, "ghetto lipo kaka ila chumba kidogo sanaaa, kuna toi la ndani, chumba ni cha nje ila wapangaji wapo wengi, hata kama sasa hivi unalitaka twende ukalicheki" dalali akanisanukia.

tukadandia boda hadi kwenye ghetto, nikalipia 3months na nikam-clear dalali, bado sijahamia coz kuna shemeji yenu namsubiri tukalizindue ghetto.
 
Depends unakula wapi mkuu

[emoji23][emoji23][emoji2936]
Kabisaaa yaan!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mie alikujaga dada akashangaa sipiki naenda nunua vyakula cafe,. Wee achaa aanze kugombaa, ndo Nkaanza system ya kupika, na sio kila siku.
 
Ghetto la ki'bush bush
JamiiForums268382995.jpg
 
dah kama masihara vile, nilikua na kama 200K hivi, nikachomoka hadi maskani fulani hivi kuna madalali kibao yani...."oya nataka ghetto kali liwe la nje, wapangaji wawe wachache na kuwe na toi la ndani ili nikiingia na pisi kali mambo yasiwe mengi." nikaongea kwa sauti ya mamlaka.

kuna mwana mmoja akanitonya kwa dalali mmoja hivi kibonge maneno meengi, "ghetto lipo kaka ila chumba kidogo sanaaa, kuna toi la ndani, chumba ni cha nje ila wapangaji wapo wengi, hata kama sasa hivi unalitaka twende ukalicheki" dalali akanisanukia.

tukadandia boda hadi kwenye ghetto, nikalipia 3months na nikam-clear dalali, bado sijahamia coz kuna shemeji yenu namsubiri tukalizindue ghetto.

[emoji28][emoji28][emoji28]mkaweke jiwe la msingi
 
dah kama masihara vile, nilikua na kama 200K hivi, nikachomoka hadi maskani fulani hivi kuna madalali kibao yani...."oya nataka ghetto kali liwe la nje, wapangaji wawe wachache na kuwe na toi la ndani ili nikiingia na pisi kali mambo yasiwe mengi." nikaongea kwa sauti ya mamlaka.

kuna mwana mmoja akanitonya kwa dalali mmoja hivi kibonge maneno meengi, "ghetto lipo kaka ila chumba kidogo sanaaa, kuna toi la ndani, chumba ni cha nje ila wapangaji wapo wengi, hata kama sasa hivi unalitaka twende ukalicheki" dalali akanisanukia.

tukadandia boda hadi kwenye ghetto, nikalipia 3months na nikam-clear dalali, bado sijahamia coz kuna shemeji yenu namsubiri tukalizindue ghetto.

Hicho chumba shiling ngapi na dalali umempa shilingi ngapi
 
Jifunze pika, vyakula vya mahotel, migahawa mingi viko kibiashara kuliko kiafya
Majuzi hapa nimekula sehem chakula,tena cha bei juu sana.
Niliarisha siku nzima aisee,sina ham tena na kula hovyo hovyo
 
Binafsi sinaga imani kabisa na vyakula vya Migahawani ni lazma karibia kila siku nijipikie. Na naona kupitia hivi nnasave sana kiasi kikubwa cha Pesa.

Na Kitu Muhimu ambayo siwezi kukosa ndani ni MCHELE.
 
Back
Top Bottom