Sio kila anaecomment hapa anaishi ghetoMeans unapikiwa sio
Au unakula kwenu
Yeah niangalie,nahitaji kubadili kitanda,fundi alinitengenezea sivyo nilivyokitaka,Google pallets bed
Mkuu maeneo gani hayo ..na per mounth ni ngapidah kama masihara vile, nilikua na kama 200K hivi, nikachomoka hadi maskani fulani hivi kuna madalali kibao yani...."oya nataka ghetto kali liwe la nje, wapangaji wawe wachache na kuwe na toi la ndani ili nikiingia na pisi kali mambo yasiwe mengi." nikaongea kwa sauti ya mamlaka.
kuna mwana mmoja akanitonya kwa dalali mmoja hivi kibonge maneno meengi, "ghetto lipo kaka ila chumba kidogo sanaaa, kuna toi la ndani, chumba ni cha nje ila wapangaji wapo wengi, hata kama sasa hivi unalitaka twende ukalicheki" dalali akanisanukia.
tukadandia boda hadi kwenye ghetto, nikalipia 3months na nikam-clear dalali, bado sijahamia coz kuna shemeji yenu namsubiri tukalizindue ghetto.
Zile ni mdf grade ya chini au pinesKingine wakuu.wale wanaoanza lyf ile mitanda mikubwa mikubwa ya barabarani mingi mibovu Sana hutoboi miez sita linaanza kunesea chini..so muwe makini Sana.
Kuna vijana wengi wanangalia decorations ya nje tu ya kitanda..nilichogundua wengi hawaelewi ni malighafi gani imetumika kutengenezea ,..Zile ni mdf grade ya chini au pines
Na ile vanish wanasiliba tope[emoji23],miezi tu tanda linatafunwa na mchwa,Kingine wakuu.wale wanaoanza lyf ile mitanda mikubwa mikubwa ya barabarani mingi mibovu Sana hutoboi miez sita linaanza kunesea chini..so muwe makini Sana.
Mzee wa luchelele ni PM mzee tuongee[emoji1787][emoji1][emoji91]Mimi nipo kanda ya ziwa huku mazimbo yangu ni new garax hotel, nyegezi, buhongwa, igoma,mabatini na wanavyumba vyao kama kawa naingia nae umo naakikisha katoa nnya ndio nalizika sasa[emoji39]
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Wapeni muongozo ili wasipigwe tenaKuna vijana wengi wanangalia decorations ya nje tu ya kitanda..nilichogundua wengi hawaelewi ni malighafi gani imetumika kutengenezea ,..
Wengi wanapigiwa Hapo .
kinyerezi mwisho mkuu, nimelipa 50K kodi na umeme 10KMkuu maeneo gani hayo ..na per mounth ni ngapi
Sema vitu uliuza au ilimpa demu,.Wakuu vipi Hali.
Mimi Baada ya kumaliza chuo huku Dar nakupambana mtaani nikaona hamna mishe na hapo nilikuwa naishi geto maeneo ya makumbusho pale nikaona isiwe kesi nikarudisha Mpira kwa kipa (home Dar)
Ila kwa Sasa kuna issue nimepata maeneo ya Africana kule japo Kwa kuanzia napata kama 450,000 nawaza namna ya kukaa geto na hiyo hela namna ya kuipangilia maana vitu vyangu nilimpaga mtu, kwa hiyo naenda kuanza upya.
kwa maeneo ya kule Africana, Room ndio nafuatilia Bei yake, ili nirudi Tena mageto.
Napenda kupata ABC zozote kutoka kwenu na kama wenyeji wa hapo Africana nijue Bei za Vyumba.
2xl boss, ila umejuaje kama nimetumia google pixel?Google Pixel gani hii mkuu?
Duuh! We hatari😱 kutambua aina ya simu kwa kuangalia picha tuNajua muonekano wa picha zake. Nimeanza zitumia toka Mwaka 2019.
Eheheheh[emoji28] picha yako chini inaonyesha source ya picha ilipo umeona apo wameandika PXL apo ni kwa picha zote za pixel zinaonyesha hvyo Lakin pia me hiyo chini niliyoweka source yake ni screenshot na ndo watavyoandika..Duuh! We hatari[emoji33] kutambua aina ya simu kwa kuangalia picha tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] likizo hii nilienda home, aseeeeh nyumba nzima mie na dogo tyuuh, yaan nilipata tabuu, mara dogo akasepa Lindi kwa broh, nlibaki mwenyeweee sikuwa pikaaa hata.Sio kila anaecomment hapa anaishi gheto
Home tunaishi 3,
Kila mtu akitoka asubuhi kukutana usiku au nabaki mwenyewe labda aje mgeni nitapika,
sasa usiku ni kuchemsha chai tu chweeee,tukutane usiku wa pili,
Mkuu vitu mdogo wangu alichukua, coz anakaa geto bado anasoma chuo.Sema vitu uliuza au ilimpa demu,.
Ishanitokea hii.Kingine wakuu.wale wanaoanza lyf ile mitanda mikubwa mikubwa ya barabarani mingi mibovu Sana hutoboi miez sita linaanza kunesea chini..so muwe makini Sana.
Sio wengi bali 99%Kuna vijana wengi wanangalia decorations ya nje tu ya kitanda..nilichogundua wengi hawaelewi ni malighafi gani imetumika kutengenezea ,..
Wengi wanapigiwa Hapo .