Ulianzaje kukaa gheto?

Robo unamaliza??

Mie ningekuwa naishi mwenyewe aisee nisingekuwa napika[emoji16]

Ninaoishi nao wananivumilia ninavyowalisha[emoji16]
Kwani robo ni nyingi? 😂 inaisha bana

Ukikaa mwenyewe kupika ni kwa nadra sana
 
Bei zikoje?
 
Wale ni shida mkuu, ila wana utaratibu mzuri sana, maana wao wanawauzia wengine kwa bei rahisi sana ila wao wanauza Kwa bei kubwa ili wateja waende huko kwenye bei ndogo wao wanabaki kama Showroom tu au kuwauzia wadosi
In short n kwamba,,,, hawataki retail customers!!!!
 
Kuna jukwaa la ujenzi, humu waache vijana wanaoanza maisha wapate motisha.
 
Anzisha Uzi kabisa, naamini utabamba Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…