Lexus SUV
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,493
- 5,591
Kweli aseee
Mie nawaza nikaanzishe kijiji sehemu yeyote isiyo na mwenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie nawaza nikaanzishe kijiji sehemu yeyote isiyo na mwenyewe.
Chakula kikavu, hupendelei michuzi au ni mvivu wa kupika vyakula vingi?View attachment 2463795
bismillah rahman rahim
Oooooh hapo sawaaa, nshakuelewaaa.Friji lina upande wa friza na friji ya kawaida
Friza utatunza samaki, nyama na nduguze
Friji chini utaweka vitu ambavyo havitakiwi kuganda, nyanya na nduguze.
Chakula kikavu, hupendelei michuzi au ni mvivu wa kupika vyakula vingi?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] napenda kukutania, wee mtani wangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani robo ni nyingi? 😂 inaisha banaRobo unamaliza??
Mie ningekuwa naishi mwenyewe aisee nisingekuwa napika[emoji16]
Ninaoishi nao wananivumilia ninavyowalisha[emoji16]
Wazo zuri[emoji23][emoji23]Mie nawaza nikaanzishe kijiji sehemu yeyote isiyo na mwenyewe.
Kwa Tanzania hii sehemu kubwa bado ziko wazi ni rahisi kupata cha msingi fuata sheria za ardhi usije ukauziwa eneo la wazi la serikali ikaja leta shida kwako.Mie nawaza nikaanzishe kijiji sehemu yeyote isiyo na mwenyewe.
Bei zikoje?Haya sasa yametosha , hayo , tufikirieni kununua viwanja vya kujenga nyumba , lets tuambizaneni maeneo gani yanafaaa kununua kiwanja for future use !! Taja na mkoa uliko. Mm niko moshi ,. Maeneo ya mjohoroni ni kuzuri maana ni startegic for now and later
In short n kwamba,,,, hawataki retail customers!!!!Wale ni shida mkuu, ila wana utaratibu mzuri sana, maana wao wanawauzia wengine kwa bei rahisi sana ila wao wanauza Kwa bei kubwa ili wateja waende huko kwenye bei ndogo wao wanabaki kama Showroom tu au kuwauzia wadosi
Daah godoro la inchi 15 huo usingizi hautaisha kwa utamu wakeKitanda unaweza weka Cha kawaida cheupe kinapendeza lakini Godoro liwe nchi Kuanzia 12 Hadi 15
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unataka ya aina gan, sema nikununuliee.Ninunulie mapazia
Unitumie[emoji28]
Hatareeee sanaaa, hapo bidada anazamia. UwiiihMdogomdogo
Usiku wa kwanza dodoma
Kuna jukwaa la ujenzi, humu waache vijana wanaoanza maisha wapate motisha.Haya sasa yametosha , hayo , tufikirieni kununua viwanja vya kujenga nyumba , lets tuambizaneni maeneo gani yanafaaa kununua kiwanja for future use !! Taja na mkoa uliko. Mm niko moshi ,. Maeneo ya mjohoroni ni kuzuri maana ni startegic for now and later
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unataka ya aina gan, sema nikununuliee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maana mapori /misitu ipo mingi haina wenyeweWazo zuri[emoji23][emoji23]
SawaKwa Tanzania hii sehemu kubwa bado ziko wazi ni rahisi kupata cha msingi fuata sheria za ardhi usije ukauziwa eneo la wazi la serikali ikaja leta shida kwako.
Anzisha Uzi kabisa, naamini utabamba SanaHaya sasa yametosha , hayo , tufikirieni kununua viwanja vya kujenga nyumba , lets tuambizaneni maeneo gani yanafaaa kununua kiwanja for future use !! Taja na mkoa uliko. Mm niko moshi ,. Maeneo ya mjohoroni ni kuzuri maana ni startegic for now and later