Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Nimepata kamshahara ka 150k kwa mwez nawez chomoka home?? Ushauri wenu maana kuishi na ndugu ni mtiti wakuu.
Sio muda mwafaka mkuu, Kwanza jua unataka nini na kwa wakati gani, me pia nilianza kazi na mshahara kama wako

Na kipindi hicho nilikuwa natoka mbali sana ili kwenda kazini, kama ni mwenyeji wa Dar, Me nilikuwa naishi sehemu moja panaitwa Kisewe, kupita mbagala na unaingia Chamanzi, unatokea Mbande

ilikuwa inanilazimu kuamka sa 10:30 usiku kujiandaa na hadi sa 11:15 napanda daladala kwenda kariakoo, nilikuwa nafika mjini sa 12:30-12:45 na kuondoka sa 12:45 jioni na home kufika sa 4 usiku

Pamoja na kupata kazi ila sikuona kama ni muda sahihi wa kuondoka home, ilibidi nianze kwenda kuwekeza hela kwa muuza godoro, nilianza kuwekeza 70k ili ninunue godoro Dodoma QFL inch 10 ambalo Kwa kipindi hicho lilikuwa likiuzwa 220k

Kutokana na nauli kuwa ndani ya hiyo hiyo pesa ndomana nikaw naweka 70k na kiasi kingine nilikuwa nahemea vyakula pale home, baada ya miezi 3 nikawa nimemaliza kulipia godoro na mshahara wa mwezi wa 4 ndo nikaenda kutafuta chumba Kigogo

Nilianza na chumba cha 30k nikalipia miez 3 na kununua baadhi ya mahitaji, ndipo nikahama home na kwenda kujitegemea rasmi, kwahiyo kama home hakuna ugai gai we kaza tu ata miez 3 ili ujiandae kisha usepe

Baada ya hapo ndo nikaanza kuweka tena hela ya kununua kitanda na baadhi ya vitu mdogo mdogo huku nikiendelea kulalia maandazi na marage ya kuomba hati punguzo ili nipate Kwa nusu bei

At least saizi Mambo sio mabaya sana maana naishi kwenye kanyumba kenye unafuu wa muonekano na ata ndani sio haba sana, mtu akija home hawezi kujua kama nilikuwa sina ata 200 ya kulipia huduma ya Choo pale kariakoo

Ukisema uondoke na hiyo 150k utaambulia chumba tu na kagodoro Ka hovyo alafu itakulazimu kuja kununua tena godoro lingine zuri kwahiyo utakuwa umeongeza gharama ambazo sio za ulazima na usiombe hicho kibarua kikaota nyasi mwezi wa 2 tu alafu uwe umesepa home mapema

Kama hapo ulipo sasa kero zilizopo au shida zilizopo zinavumilika basi we jipe Malengo na uishi malengo yako ili baada ya Muda uliojiwekea uwe umetimiza na kuendelea na mambo mengine ambayo
IMG_20230104_232004.jpg
 
Sio muda mwafaka mkuu, Kwanza jua unataka nini na kwa wakati gani, me pia nilianza kazi na mshahara kama wako

Na kipindi hicho nilikuwa natoka mbali sana ili kwenda kazini, kama ni mwenyeji wa Dar, Me nilikuwa naishi sehemu moja panaitwa Kisewe, kupita mbagala na unaingia Chamanzi, unatokea Mbande

ilikuwa inanilazimu kuamka sa 10:30 usiku kujiandaa na hadi sa 11:15 napanda daladala kwenda kariakoo, nilikuwa nafika mjini sa 12:30-12:45 na kuondoka sa 12:45 jioni na home kufika sa 4 usiku

Pamoja na kupata kazi ila sikuona kama ni muda sahihi wa kuondoka home, ilibidi nianze kwenda kuwekeza hela kwa muuza godoro, nilianza kuwekeza 70k ili ninunue godoro Dodoma QFL inch 10 ambalo Kwa kipindi hicho lilikuwa likiuzwa 220k

Kutokana na nauli kuwa ndani ya hiyo hiyo pesa ndomana nikaw naweka 70k na kiasi kingine nilikuwa nahemea vyakula pale home, baada ya miezi 3 nikawa nimemaliza kulipia godoro na mshahara wa mwezi wa 4 ndo nikaenda kutafuta chumba Kigogo

Nilianza na chumba cha 30k nikalipia miez 3 na kununua baadhi ya mahitaji, ndipo nikahama home na kwenda kujitegemea rasmi, kwahiyo kama home hakuna ugai gai we kaza tu ata miez 3 ili ujiandae kisha usepe

Baada ya hapo ndo nikaanza kuweka tena hela ya kununua kitanda na baadhi ya vitu mdogo mdogo huku nikiendelea kulalia maandazi na marage ya kuomba hati punguzo ili nipate Kwa nusu bei

At least saizi Mambo sio mabaya sana maana naishi kwenye kanyumba kenye unafuu wa muonekano na ata ndani sio haba sana, mtu akija home hawezi kujua kama nilikuwa sina ata 200 ya kulipia huduma ya Choo pale kariakoo

Ukisema uondoke na hiyo 150k utaambulia chumba tu na kagodoro Ka hovyo alafu itakulazimu kuja kununua tena godoro lingine zuri kwahiyo utakuwa umeongeza gharama ambazo sio za ulazima na usiombe hicho kibarua kikaota nyasi mwezi wa 2 tu alafu uwe umesepa home mapema

Kama hapo ulipo sasa kero zilizopo au shida zilizopo zinavumilika basi we jipe Malengo na uishi malengo yako ili baada ya Muda uliojiwekea uwe umetimiza na kuendelea na mambo mengine ambayo View attachment 2469212
Hongera,getho limetulia.
 
Sio muda mwafaka mkuu, Kwanza jua unataka nini na kwa wakati gani, me pia nilianza kazi na mshahara kama wako

Na kipindi hicho nilikuwa natoka mbali sana ili kwenda kazini, kama ni mwenyeji wa Dar, Me nilikuwa naishi sehemu moja panaitwa Kisewe, kupita mbagala na unaingia Chamanzi, unatokea Mbande

ilikuwa inanilazimu kuamka sa 10:30 usiku kujiandaa na hadi sa 11:15 napanda daladala kwenda kariakoo, nilikuwa nafika mjini sa 12:30-12:45 na kuondoka sa 12:45 jioni na home kufika sa 4 usiku

Pamoja na kupata kazi ila sikuona kama ni muda sahihi wa kuondoka home, ilibidi nianze kwenda kuwekeza hela kwa muuza godoro, nilianza kuwekeza 70k ili ninunue godoro Dodoma QFL inch 10 ambalo Kwa kipindi hicho lilikuwa likiuzwa 220k

Kutokana na nauli kuwa ndani ya hiyo hiyo pesa ndomana nikaw naweka 70k na kiasi kingine nilikuwa nahemea vyakula pale home, baada ya miezi 3 nikawa nimemaliza kulipia godoro na mshahara wa mwezi wa 4 ndo nikaenda kutafuta chumba Kigogo

Nilianza na chumba cha 30k nikalipia miez 3 na kununua baadhi ya mahitaji, ndipo nikahama home na kwenda kujitegemea rasmi, kwahiyo kama home hakuna ugai gai we kaza tu ata miez 3 ili ujiandae kisha usepe

Baada ya hapo ndo nikaanza kuweka tena hela ya kununua kitanda na baadhi ya vitu mdogo mdogo huku nikiendelea kulalia maandazi na marage ya kuomba hati punguzo ili nipate Kwa nusu bei

At least saizi Mambo sio mabaya sana maana naishi kwenye kanyumba kenye unafuu wa muonekano na ata ndani sio haba sana, mtu akija home hawezi kujua kama nilikuwa sina ata 200 ya kulipia huduma ya Choo pale kariakoo

Ukisema uondoke na hiyo 150k utaambulia chumba tu na kagodoro Ka hovyo alafu itakulazimu kuja kununua tena godoro lingine zuri kwahiyo utakuwa umeongeza gharama ambazo sio za ulazima na usiombe hicho kibarua kikaota nyasi mwezi wa 2 tu alafu uwe umesepa home mapema

Kama hapo ulipo sasa kero zilizopo au shida zilizopo zinavumilika basi we jipe Malengo na uishi malengo yako ili baada ya Muda uliojiwekea uwe umetimiza na kuendelea na mambo mengine ambayo View attachment 2469212
I see Hisense as ur fav brand eeheee
 
Sio muda mwafaka mkuu, Kwanza jua unataka nini na kwa wakati gani, me pia nilianza kazi na mshahara kama wako

Na kipindi hicho nilikuwa natoka mbali sana ili kwenda kazini, kama ni mwenyeji wa Dar, Me nilikuwa naishi sehemu moja panaitwa Kisewe, kupita mbagala na unaingia Chamanzi, unatokea Mbande

ilikuwa inanilazimu kuamka sa 10:30 usiku kujiandaa na hadi sa 11:15 napanda daladala kwenda kariakoo, nilikuwa nafika mjini sa 12:30-12:45 na kuondoka sa 12:45 jioni na home kufika sa 4 usiku

Pamoja na kupata kazi ila sikuona kama ni muda sahihi wa kuondoka home, ilibidi nianze kwenda kuwekeza hela kwa muuza godoro, nilianza kuwekeza 70k ili ninunue godoro Dodoma QFL inch 10 ambalo Kwa kipindi hicho lilikuwa likiuzwa 220k

Kutokana na nauli kuwa ndani ya hiyo hiyo pesa ndomana nikaw naweka 70k na kiasi kingine nilikuwa nahemea vyakula pale home, baada ya miezi 3 nikawa nimemaliza kulipia godoro na mshahara wa mwezi wa 4 ndo nikaenda kutafuta chumba Kigogo

Nilianza na chumba cha 30k nikalipia miez 3 na kununua baadhi ya mahitaji, ndipo nikahama home na kwenda kujitegemea rasmi, kwahiyo kama home hakuna ugai gai we kaza tu ata miez 3 ili ujiandae kisha usepe

Baada ya hapo ndo nikaanza kuweka tena hela ya kununua kitanda na baadhi ya vitu mdogo mdogo huku nikiendelea kulalia maandazi na marage ya kuomba hati punguzo ili nipate Kwa nusu bei

At least saizi Mambo sio mabaya sana maana naishi kwenye kanyumba kenye unafuu wa muonekano na ata ndani sio haba sana, mtu akija home hawezi kujua kama nilikuwa sina ata 200 ya kulipia huduma ya Choo pale kariakoo

Ukisema uondoke na hiyo 150k utaambulia chumba tu na kagodoro Ka hovyo alafu itakulazimu kuja kununua tena godoro lingine zuri kwahiyo utakuwa umeongeza gharama ambazo sio za ulazima na usiombe hicho kibarua kikaota nyasi mwezi wa 2 tu alafu uwe umesepa home mapema

Kama hapo ulipo sasa kero zilizopo au shida zilizopo zinavumilika basi we jipe Malengo na uishi malengo yako ili baada ya Muda uliojiwekea uwe umetimiza na kuendelea na mambo mengine ambayo View attachment 2469212
Mzee umepambana na mm natumia formular yako ila mm natak ninunue kila kitu.
 
Mzee umepambana na mm natumia formular yako ila mm natak ninunue kila kitu.
Hiyo formula nzuri mkuu, kama home hakuna shida bora ujiwekeze tu kila kitu na siku ukihama unakuwa full package

Me niliwahi kutoka home kutokana na changamoto ya usafiri na umbali, nilikuwa natumia muda mwingi sana kwenye daladala

Ata job nilikuwa nasinzia tu, nikaona hapa hii kazi itakuja kuwa mateso kwangu badala ya faraja, ikabidi nisepe tu
 
Sio muda mwafaka mkuu, Kwanza jua unataka nini na kwa wakati gani, me pia nilianza kazi na mshahara kama wako

Na kipindi hicho nilikuwa natoka mbali sana ili kwenda kazini, kama ni mwenyeji wa Dar, Me nilikuwa naishi sehemu moja panaitwa Kisewe, kupita mbagala na unaingia Chamanzi, unatokea Mbande

ilikuwa inanilazimu kuamka sa 10:30 usiku kujiandaa na hadi sa 11:15 napanda daladala kwenda kariakoo, nilikuwa nafika mjini sa 12:30-12:45 na kuondoka sa 12:45 jioni na home kufika sa 4 usiku

Pamoja na kupata kazi ila sikuona kama ni muda sahihi wa kuondoka home, ilibidi nianze kwenda kuwekeza hela kwa muuza godoro, nilianza kuwekeza 70k ili ninunue godoro Dodoma QFL inch 10 ambalo Kwa kipindi hicho lilikuwa likiuzwa 220k

Kutokana na nauli kuwa ndani ya hiyo hiyo pesa ndomana nikaw naweka 70k na kiasi kingine nilikuwa nahemea vyakula pale home, baada ya miezi 3 nikawa nimemaliza kulipia godoro na mshahara wa mwezi wa 4 ndo nikaenda kutafuta chumba Kigogo

Nilianza na chumba cha 30k nikalipia miez 3 na kununua baadhi ya mahitaji, ndipo nikahama home na kwenda kujitegemea rasmi, kwahiyo kama home hakuna ugai gai we kaza tu ata miez 3 ili ujiandae kisha usepe

Baada ya hapo ndo nikaanza kuweka tena hela ya kununua kitanda na baadhi ya vitu mdogo mdogo huku nikiendelea kulalia maandazi na marage ya kuomba hati punguzo ili nipate Kwa nusu bei

At least saizi Mambo sio mabaya sana maana naishi kwenye kanyumba kenye unafuu wa muonekano na ata ndani sio haba sana, mtu akija home hawezi kujua kama nilikuwa sina ata 200 ya kulipia huduma ya Choo pale kariakoo

Ukisema uondoke na hiyo 150k utaambulia chumba tu na kagodoro Ka hovyo alafu itakulazimu kuja kununua tena godoro lingine zuri kwahiyo utakuwa umeongeza gharama ambazo sio za ulazima na usiombe hicho kibarua kikaota nyasi mwezi wa 2 tu alafu uwe umesepa home mapema

Kama hapo ulipo sasa kero zilizopo au shida zilizopo zinavumilika basi we jipe Malengo na uishi malengo yako ili baada ya Muda uliojiwekea uwe umetimiza na kuendelea na mambo mengine ambayo View attachment 2469212
[emoji106] safi sana Kwa kuweka malengo na nia bila kukata tamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio muda mwafaka mkuu, Kwanza jua unataka nini na kwa wakati gani, me pia nilianza kazi na mshahara kama wako

Na kipindi hicho nilikuwa natoka mbali sana ili kwenda kazini, kama ni mwenyeji wa Dar, Me nilikuwa naishi sehemu moja panaitwa Kisewe, kupita mbagala na unaingia Chamanzi, unatokea Mbande

ilikuwa inanilazimu kuamka sa 10:30 usiku kujiandaa na hadi sa 11:15 napanda daladala kwenda kariakoo, nilikuwa nafika mjini sa 12:30-12:45 na kuondoka sa 12:45 jioni na home kufika sa 4 usiku

Pamoja na kupata kazi ila sikuona kama ni muda sahihi wa kuondoka home, ilibidi nianze kwenda kuwekeza hela kwa muuza godoro, nilianza kuwekeza 70k ili ninunue godoro Dodoma QFL inch 10 ambalo Kwa kipindi hicho lilikuwa likiuzwa 220k

Kutokana na nauli kuwa ndani ya hiyo hiyo pesa ndomana nikaw naweka 70k na kiasi kingine nilikuwa nahemea vyakula pale home, baada ya miezi 3 nikawa nimemaliza kulipia godoro na mshahara wa mwezi wa 4 ndo nikaenda kutafuta chumba Kigogo

Nilianza na chumba cha 30k nikalipia miez 3 na kununua baadhi ya mahitaji, ndipo nikahama home na kwenda kujitegemea rasmi, kwahiyo kama home hakuna ugai gai we kaza tu ata miez 3 ili ujiandae kisha usepe

Baada ya hapo ndo nikaanza kuweka tena hela ya kununua kitanda na baadhi ya vitu mdogo mdogo huku nikiendelea kulalia maandazi na marage ya kuomba hati punguzo ili nipate Kwa nusu bei

At least saizi Mambo sio mabaya sana maana naishi kwenye kanyumba kenye unafuu wa muonekano na ata ndani sio haba sana, mtu akija home hawezi kujua kama nilikuwa sina ata 200 ya kulipia huduma ya Choo pale kariakoo

Ukisema uondoke na hiyo 150k utaambulia chumba tu na kagodoro Ka hovyo alafu itakulazimu kuja kununua tena godoro lingine zuri kwahiyo utakuwa umeongeza gharama ambazo sio za ulazima na usiombe hicho kibarua kikaota nyasi mwezi wa 2 tu alafu uwe umesepa home mapema

Kama hapo ulipo sasa kero zilizopo au shida zilizopo zinavumilika basi we jipe Malengo na uishi malengo yako ili baada ya Muda uliojiwekea uwe umetimiza na kuendelea na mambo mengine ambayo View attachment 2469212
M napenda kuwa na fridge ndogo kama iyo yako siku moja ,Bei yake inaenda kias gan na uimara wake na kampuni ipi nzuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio muda mwafaka mkuu, Kwanza jua unataka nini na kwa wakati gani, me pia nilianza kazi na mshahara kama wako

Na kipindi hicho nilikuwa natoka mbali sana ili kwenda kazini, kama ni mwenyeji wa Dar, Me nilikuwa naishi sehemu moja panaitwa Kisewe, kupita mbagala na unaingia Chamanzi, unatokea Mbande

ilikuwa inanilazimu kuamka sa 10:30 usiku kujiandaa na hadi sa 11:15 napanda daladala kwenda kariakoo, nilikuwa nafika mjini sa 12:30-12:45 na kuondoka sa 12:45 jioni na home kufika sa 4 usiku

Pamoja na kupata kazi ila sikuona kama ni muda sahihi wa kuondoka home, ilibidi nianze kwenda kuwekeza hela kwa muuza godoro, nilianza kuwekeza 70k ili ninunue godoro Dodoma QFL inch 10 ambalo Kwa kipindi hicho lilikuwa likiuzwa 220k

Kutokana na nauli kuwa ndani ya hiyo hiyo pesa ndomana nikaw naweka 70k na kiasi kingine nilikuwa nahemea vyakula pale home, baada ya miezi 3 nikawa nimemaliza kulipia godoro na mshahara wa mwezi wa 4 ndo nikaenda kutafuta chumba Kigogo

Nilianza na chumba cha 30k nikalipia miez 3 na kununua baadhi ya mahitaji, ndipo nikahama home na kwenda kujitegemea rasmi, kwahiyo kama home hakuna ugai gai we kaza tu ata miez 3 ili ujiandae kisha usepe

Baada ya hapo ndo nikaanza kuweka tena hela ya kununua kitanda na baadhi ya vitu mdogo mdogo huku nikiendelea kulalia maandazi na marage ya kuomba hati punguzo ili nipate Kwa nusu bei

At least saizi Mambo sio mabaya sana maana naishi kwenye kanyumba kenye unafuu wa muonekano na ata ndani sio haba sana, mtu akija home hawezi kujua kama nilikuwa sina ata 200 ya kulipia huduma ya Choo pale kariakoo

Ukisema uondoke na hiyo 150k utaambulia chumba tu na kagodoro Ka hovyo alafu itakulazimu kuja kununua tena godoro lingine zuri kwahiyo utakuwa umeongeza gharama ambazo sio za ulazima na usiombe hicho kibarua kikaota nyasi mwezi wa 2 tu alafu uwe umesepa home mapema

Kama hapo ulipo sasa kero zilizopo au shida zilizopo zinavumilika basi we jipe Malengo na uishi malengo yako ili baada ya Muda uliojiwekea uwe umetimiza na kuendelea na mambo mengine ambayo View attachment 2469212
Hongera mkuu
 
Back
Top Bottom