Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Hapo ni unapigwa pin kijanjaHata siku kikiumana nanyanyua vyangu naamsha,japo nishaambiwa ukitaka kusepa ondoka wewe na nguo zako tu[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ni unapigwa pin kijanjaHata siku kikiumana nanyanyua vyangu naamsha,japo nishaambiwa ukitaka kusepa ondoka wewe na nguo zako tu[emoji23]
NdiyoHapo ni unapigwa pin kijanja
Bei zao zinafanana sana na Hisense, na kama utakuta utofauti basi ni utofauti wa 30000-50000Na bei zao ziko juu kiasi au kama za Hisense?
Hapo nimekuelewa vizuri ndugu yangu.Tcl yuko juu
Lakini hawajapishana sana
Wakati mm nanunua niliomba niwashiwe zote TCL na Hisense.
Tcl ilikuwa na clearly view ‘inatoa kama mtu alivyo.
Hisense ikawa kama imepigwa filter..
Pamoja na hayo yote lkn nilichukua Hisense.
Na bei zilikuwa na mpishano wa kama 20/30K hivi.
Kwa nchi 32’
Soon naiondoa
Naiona imekuwa ndogo
Hii meza ya mbao?Mwaka mpya na mambo[emoji91]
Mwaka huu inshaaAllah nimepanga nibadili/kuongeza vitu kadhaa,
Nashukuru kwa mwaka jana nilifanikisha vitu kadhaa[emoji1545]View attachment 2466214
Ww unatupanga wewe[emoji23][emoji23][emoji23] we si upo kwa mamako ww?Mwaka mpya na mambo[emoji91]
Mwaka huu inshaaAllah nimepanga nibadili/kuongeza vitu kadhaa,
Nashukuru kwa mwaka jana nilifanikisha vitu kadhaa[emoji1545]View attachment 2466214
Anatuibia eehWw unatupanga wewe[emoji23][emoji23][emoji23] we si upo kwa mamako ww?
Zimechomolewa barabarani hizi
Wahuni ao alaf wamenda rembea geto.Zimechomolewa barabarani hizi
Muhuni katika harakati za kupamba getto 🤣🤣🤣Zimechomolewa barabarani hizi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hii too much sasa
Nipo hapa Mzee, napambania kombe.@merchate kumbe uko hapa mafinga mzee baba ?
Jamani daaah ipo siku nami nitajitegemea tu[emoji1787]Ww unatupanga wewe[emoji23][emoji23][emoji23] we si upo kwa mamako ww?
Jamani daaah[emoji2815]Anatuibia eeh
Atii Wardaaa [emoji23][emoji23][emoji23]
usiku kunakua kama disco humo ndani[emoji23][emoji23]Muhuni katika harakati za kupamba getto [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watu wamevurugwa mzee[emoji28]Wahuni ao alaf wamenda rembea geto.
sawa mkuu. nitakutafutaNipo hapa Mzee, napambania kombe.