[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie cha chuma mwanzoni nilianzaa nacho, baadae kunaa papah m1 aliwahi kuja room kwangu ndo akasema sio kizuri cha chuma, ndo akanisaidia kubadilishaa.[emoji23][emoji23] aweeee
Kinabowaaaa
Nimeanzia nacho maisha 2020
2022 nimekiondoa
Na nilikimix na miguu ya mbao lkn with a time nilikichoka tu
Mmmmh hapo ndo balaa pia, boraa utengenezee huko, kije kitanda.Nataka niagize mbao kutoka mkoani kitanda kitengenezewe huku i think cost itapungua.
Tuliosoma instabul tumelewa.Ndiyooooooh jobless na nimepangaaa
Asante sana.Mninga unakua na mwonekano huo,utaujua kwa mabaka mabaka yake,uzito,n.k. View attachment 2469954
Asaaaaaaanteeeeeh!Ni ngumu kujua mkuu kama huna uzoefu na mbao, ila mara nyingi waga ni busara za fundi tu kama unajuana nae hawezi kukupiga
ila kwa baadhi ya sifa za Mninga ni mbao nzito sana tofauti na mbao zingine lakini pia unakuwa hauna Rangi moja, unakuwa na mabaka mabaka
Pia ukipigwa tu msasa na kupigwa vanish unawaka hatari unaweza kusema umepigwa mapambo ya Kipemba kumbe vanish tu
Kwa upande wangu Mara nyingi Mninga nilifanikiwa kuona Tabora na Iringa ila Dar sinaga kabisa imani nao
Hatareeeee^eeee^!!!Kitu cha mninga hicho.View attachment 2469964
Apo mpaka uwepo kinavotengenzwa.Asante sana.
Je kwenye zile sofabed ambazo unakuta pande zote kimezungushiwa vitambaa ntawezaje kuona hayo mabaka??
Ndio hivo mkuu hizi mbao za Dar wanatupiga sana, hao wadudu wakianza Kula Mbao ule muda ambao umejituliza unaongea na halmashauri yako ya Akili wanakela sana
Pamoja na hao wadudu wala mbao mkuu, ila una gheto la kibabe Sana [emoji119]
Me nimenunua sofa bed cjui hta mbao gan.Asante sana.
Je kwenye zile sofabed ambazo unakuta pande zote kimezungushiwa vitambaa ntawezaje kuona hayo mabaka??
Kumekuchaaa!! Hata ungesoma Cambridge, sicho unachokiwazaaaa.Tuliosoma instabul tumelewa.
Jobless unatoa kodi wap?na kuna papa alikubadlshia kitanda sasa tuwazeje.Kumekuchaaa!! Hata ungesoma Cambridge, sicho unachokiwazaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa sawaApo mpaka uwepo kinavotengenzwa.
Duh pole in advance mana najua lazma umepigwa[emoji45][emoji45]Me nimenunua sofa bed cjui hta mbao gan.
Mkuu Kutokupenda kwako kulalia kitanda hakufanyi ushangae wanaolalia as if ni ajabu, ata huko kwenu ulipokuwa unaishi umeacha ndugu zako wanalalia vitanda na inawezekana nawewe ulikuwa mmoja waoHivi wenzangu mnalalia vitanda? [emoji1][emoji1] Mi nashindwa kwa kweli, mwaka wa pili sasa natimiza tangu nichomoke home, sijawahi kiwaza, wala kununua kitanda, nimeweka pallets, na zipo stable mpaka leo, by the way, sipendi vitanda vya juu
Hapo huwez kumbunguluka kweli?Binafsi napenda kulala juu juu magodoro mawili Dodomia[emoji123][emoji3059]View attachment 2472940
Nalala katikati pembeni mito,sijawahi kubulunguka[emoji23]Hapo huwez kumbunguluka kweli?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cna wazazi?? Au ndugu?Jobless unatoa kodi wap?na kuna papa alikubadlshia kitanda sasa tuwazeje.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naomba godoro 1 dyadyaa puliiizzzz.Nalala katikati pembeni mito,sijawahi kubulunguka[emoji23]