Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

[emoji23][emoji23] aweeee

Kinabowaaaa
Nimeanzia nacho maisha 2020
2022 nimekiondoa
Na nilikimix na miguu ya mbao lkn with a time nilikichoka tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie cha chuma mwanzoni nilianzaa nacho, baadae kunaa papah m1 aliwahi kuja room kwangu ndo akasema sio kizuri cha chuma, ndo akanisaidia kubadilishaa.

Kilitengenezwa mkoani kwetu afu kilisafirishwaa kuja Dar.
 
Ni ngumu kujua mkuu kama huna uzoefu na mbao, ila mara nyingi waga ni busara za fundi tu kama unajuana nae hawezi kukupiga

ila kwa baadhi ya sifa za Mninga ni mbao nzito sana tofauti na mbao zingine lakini pia unakuwa hauna Rangi moja, unakuwa na mabaka mabaka

Pia ukipigwa tu msasa na kupigwa vanish unawaka hatari unaweza kusema umepigwa mapambo ya Kipemba kumbe vanish tu

Kwa upande wangu Mara nyingi Mninga nilifanikiwa kuona Tabora na Iringa ila Dar sinaga kabisa imani nao
Asaaaaaaanteeeeeh!
 
Ndio hivo mkuu hizi mbao za Dar wanatupiga sana, hao wadudu wakianza Kula Mbao ule muda ambao umejituliza unaongea na halmashauri yako ya Akili wanakela sana

Pamoja na hao wadudu wala mbao mkuu, ila una gheto la kibabe Sana [emoji119]

Asante sana mkuu [emoji1545]
 
Hivi wenzangu mnalalia vitanda? [emoji1][emoji1] Mi nashindwa kwa kweli, mwaka wa pili sasa natimiza tangu nichomoke home, sijawahi kiwaza, wala kununua kitanda, nimeweka pallets, na zipo stable mpaka leo, by the way, sipendi vitanda vya juu
 
Hivi wenzangu mnalalia vitanda? [emoji1][emoji1] Mi nashindwa kwa kweli, mwaka wa pili sasa natimiza tangu nichomoke home, sijawahi kiwaza, wala kununua kitanda, nimeweka pallets, na zipo stable mpaka leo, by the way, sipendi vitanda vya juu
Mkuu Kutokupenda kwako kulalia kitanda hakufanyi ushangae wanaolalia as if ni ajabu, ata huko kwenu ulipokuwa unaishi umeacha ndugu zako wanalalia vitanda na inawezekana nawewe ulikuwa mmoja wao
 
Binafsi napenda kulala juu juu magodoro mawili Dodomia[emoji123][emoji3059]
IMG_20230108_104746~2.jpg
 
Back
Top Bottom