Oi wanangubwa maghetoni , leo weekend , vip mmeita michuchu ya kutelezesha wanangu ?
Kibachelor zinatosha sana hizo[emoji16][emoji16][emoji16] Nimecheka...Mimi sahani ninazo mbili
Au sio [emoji16][emoji16]Kibachelor zinatosha sana hizo
Umerud kwa kipa?kaza mremboMpira kwa kipa,. Unga kilo 2000 ,,sema Mchele unashuka bei eeeh,. Mkomae
Vipi huko kwenu[emoji125][emoji125]
Kaza mchumba.....usirudishe mpira Kwa bekMpira kwa kipa,. Unga kilo 2000 ,,sema Mchele unashuka bei eeeh,. Mkomae
Vipi huko kwenu[emoji125][emoji125]
Yeah[emoji16][emoji16]Au sio [emoji16][emoji16]
Olewa wewe...kuna mwenzio leo kazabuliwa makofi eti anakataa kuolewa mke wa pili....🤣🤣🤣🤣Mpira kwa kipa,. Unga kilo 2000 ,,sema Mchele unashuka bei eeeh,. Mkomae
Vipi huko kwenu[emoji125][emoji125]
Hiyo hela si bora uingie comfort lodge hapo makumbusho 30k tu full A/cJamani mwenye gheto zuri maeneo ya mwenge kijitonyama ubungo makumbusho. Nahitaji kwa ajili ya mizangamuo. Offer yangu ni 40k kwa masaa mawili tuu.
Haha ukijizoesha utaona ni kawaidaKwangu naweza kujiwekea ako kautaratib ka kupika na kuosha lakin ntakafanya kwa wiki TU
👍Hiyo hela si bora uingie comfort lodge hapo makumbusho 30k tu full A/c
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] mwamba anamasikhara kwelikweli au anataka ajioshee kuwa ghetto lakeHiyo hela si bora uingie comfort lodge hapo makumbusho 30k tu full A/c
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Inabidi ubadilishe ratiba ya kufua mkuuNyumba za kupanga wengi+ wenye nyumba wakiwepo apoapo kuna kero moja siipendi sana ipo hivi.
Kuna sisi uwa siku za kazi zote tunachelewa kurudi maybe saa1 usiku na kuendelea sasa unakuta umejipangia utafua weekend sasa maajab yanajitokeza ata wale wanaoshinda siku za kazi home nawao wanatoa nguo zao kufua ubaya zaidi wanafua minguo kibao kiasi kwamba kamba zote zinajaa inabidi tena mimi Jumatatu niamke saa12 nianze kufua aseee hii kero inanikaba sana koo natamani nimchane maza haus maana nayeye ni mmoja wapo na binti yake,na kuna mke wa mtu mmoja nae anatabia hizi za ajab, Wanashindwa kabisa kujiongeza.
Bwana mambk ya kuingia lodge wengine hatutaki tunataka chobingoz[emoji23][emoji23][emoji23] mwamba anamasikhara kwelikweli au anataka ajioshee kuwa ghetto lake
Usikute labda mchumba hataki habari za[emoji23][emoji23][emoji23] mwamba anamasikhara kwelikweli au anataka ajioshee kuwa ghetto lake
Shida inakuja nikibadili apo inabidi nifue usiku sana au asubuhi sana siku ya kazi
Alaf kweli kuna wanawake hawapendi kabisa habari za LodgeUsikute labda mchumba hataki habari za
Lodge [emoji28]
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Au weekend inabidi uwahi kufua mapema sana kabla hao wengine hawajaanza kufuaShida inakuja nikibadili apo inabidi nifue usiku sana au asubuhi sana siku ya kazi