Ulianzaje kukaa gheto?

Amka mapema fua.

Una amka hata saa 11.

Mimi wakati mwingine hua nafua jioni au hata usiku.
 

Kochi la watu wawili.

Kabati

Meza ndogo.
 
Na mimi nadhani nitaipata kero kama yako maana Ghetto nililopata Liko ndani ya fence sema eneo la kuanika nguo ni finyu yani nguo za mtu mmoja alizovaa week nzima akifua anajaza kamba zote [emoji28]

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]sina cha kuongezea zaidi ya kusema karibu matatizoni

Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…