Mdau jf
Senior Member
- Sep 10, 2020
- 182
- 313
Nahisi wakati wa kupika ule mvuke unaganda ukutani pale ulipo mtungiMtungi unachafuaje ukuta?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi wakati wa kupika ule mvuke unaganda ukutani pale ulipo mtungiMtungi unachafuaje ukuta?
Kwa dom ndo bei zake hizo kawaida tu.Mbona Kodi kubwa boss,
Hapo ni chumba kimoja au viwili!???Kwa dom ndo bei zake hizo kawaida tu.
ah kama anapikia direct kutokea mtungini?Nahisi wakati wa kupika ule mvuke unaganda ukutani pale ulipo mtungi
Amka mapema fua.Nyumba za kupanga wengi+ wenye nyumba wakiwepo apoapo kuna kero moja siipendi sana ipo hivi.
Kuna sisi uwa siku za kazi zote tunachelewa kurudi maybe saa1 usiku na kuendelea sasa unakuta umejipangia utafua weekend sasa maajab yanajitokeza ata wale wanaoshinda siku za kazi home nawao wanatoa nguo zao kufua ubaya zaidi wanafua minguo kibao kiasi kwamba kamba zote zinajaa inabidi tena mimi Jumatatu niamke saa12 nianze kufua aseee hii kero inanikaba sana koo natamani nimchane maza haus maana nayeye ni mmoja wapo na binti yake,na kuna mke wa mtu mmoja nae anatabia hizi za ajab, Wanashindwa kabisa kujiongeza.
Kma hutak kuchafua ukuta..weka zile wallcharts za matundaNahisi wakati wa kupika ule mvuke unaganda ukutani pale ulipo mtungi
Inatosha sana
Nakadiria tu bei sio exact price lakini ina range humo humo
Kitanda na godoro around 300k
Feni 120k
Jiko la gesi mtungi mdogo 55k
Kitchen cabinet 100k
Tv 300k
Sabufa 100k
Mapazia,mashuka 80k
Pasi 35k
Extension cable 10k
Ndoo za maji
Fridge dogo 150k
Total 1,170,000/=
Inabaki 230,000/= ya misosi
Mchele
Unga
Mafuta ya kupikia etc
ZinuzwajeKma hutak kuchafua ukuta..weka zile wallcharts za matunda
Zinuzwaje bei yakeah kama anapikia direct kutokea mtungini?
Aweke zile wallpaper za jikoni.. zimechorwa chorwa matunda.
Nenda maeneo ya chuo cha mipangoNatafuta getho la 50 Dom ndani ya fance wakuu 0673157150
Kuna mdada nmeamua niwe nampa akanifulieAmka mapema fua.
Una amka hata saa 11.
Mimi wakati mwingine hua nafua jioni au hata usiku.
Tunasubilianitakuja na story yangu soon
Na mimi nadhani nitaipata kero kama yako maana Ghetto nililopata Liko ndani ya fence sema eneo la kuanika nguo ni finyu yani nguo za mtu mmoja alizovaa week nzima akifua anajaza kamba zote [emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23]sina cha kuongezea zaidi ya kusema karibu matatizoniNa mimi nadhani nitaipata kero kama yako maana Ghetto nililopata Liko ndani ya fence sema eneo la kuanika nguo ni finyu yani nguo za mtu mmoja alizovaa week nzima akifua anajaza kamba zote [emoji28]
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Asante mkuu,matatizo dawa yake ni kuyatatua[emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]sina cha kuongezea zaidi ya kusema karibu matatizoni
Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
[emoji28]aya ya nyumba za kupanga ni continuos problemsAsante mkuu,matatizo dawa yake ni kuyatatua[emoji28][emoji28]
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Nunua kamba za dukani, afu pia nunua nguzo uwekee, mbna simple tyuuh.Asante mkuu,matatizo dawa yake ni kuyatatua[emoji28][emoji28]
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Ishu sio kamba wala nguzo ishu ni Space ndogo...hapo ni mwendo wa kufua Alfajiri tuNunua kamba za dukani, afu pia nunua nguzo uwekee, mbna simple tyuuh.
Khaaaaaah sasa mbna mateso hayaa, uwiiiiiihIshu sio kamba wala nguzo ishu ni Space ndogo...hapo ni mwendo wa kufua Alfajiri tu
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app