Ulianzaje kukaa gheto?

Big up man mi changamoto kibao nimepitia na mpk leo cjapata ahueni otherwise uzima upo may be kesho things might be ok
 
Asante sana...NIMEPATA SOMO ZURI
 
Anza kupika tu mkuu, nunua vyombo japo ni ghali lakini inasaidia hasa ukimiss chakula kizuri ukipendacho
 
ulipitia changamoto kubwa lakini matunda yake naimani umeyaona, umeniinspire na mie kuwa na moyo mgumu
 
2015 nillikuwa najaa na jamaa yangu uku napiga msuri qt.

Badae tuka shodwana na jamaa so nikitafuta chumba nikaamia nikiwa nausufuria mbili tuu Sina hata godoro nillikuwa na jiko langu dogo la mchina maisha yalienda kama Kawa nikapambana ad Leo mambo Safi japo bado nipo geto Lakin
 
Jamaa yako yukwap mkuu?

Umetisha lakin sio kwa mwanzo huo mkuu[emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…