kocha Nabi
JF-Expert Member
- Feb 1, 2022
- 709
- 1,881
Mungu yu pamoja na watafutaji tusikate tamaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apia? 😂😂Dah hatari,nililinunua godoro mwezi wa 10 inch 8' et sahivi nadumbukia katkat roho inaniuma basi tu
Bora umekuja depal..changamsha uzi kwa picha 👐🏽Apia? 😂😂
Walikuibia.. ni kampuni gani?
Bwana ni mwema sana kaka tuendelee kumuaminikweli mkuu mi ni muumini sana wa imani.
🙏Bwana ni mwema sana kaka tuendelee kumuamini
Safiii tunasubiri nyingine😂😂 njoo kwanza tupike View attachment 2670201
Dah fridge halikauki🔥🔥😂😂 njoo kwanza tupike View attachment 2670201
Tangu nizaliwe sijawahi fanya scrubNjoo nikuscrub uso View attachment 2670209
Kwanini 😃Tangu nizaliwe sijawahi fanya scrub
Hahaha kama unanijua vile...Kwanini 😃
Au uko na babe face naturally
Hyo buku mbona kama haina kaziNjoo nikuscrub uso
View attachment 2670214
🤣🤣🤣Hyo buku mbona kama haina kazi
Kwanini? Si utajizeesha mapema 😂😂Hahaha kama unanijua vile...
sema muda mwingi sura inakua serious na ndita kama nimekunywa mwarobaini
😂😂 chukuaHyo buku mbona kama haina kazi
Yah nishaharibika imekua kama tabia nilianza kumuiga mzee wangu nilipokua form 2 ...Kwanini? Si utajizeesha mapema 😂😂
Paji la uso litaweka parmanently ile mistari ya ndita
Npo hapa naivizia😂😂 chukua
Uwii em acha 😂😂Yah nishaharibika imekua kama tabia nilianza kumuiga mzee wangu nilipokua form 2 ...
Siwezi kwenda aise .Uwii em acha 😂😂
Fanya scrub itatoka 😛
Linaitwa Banco n hatari tupuAina gan godoro lako?