lukubuzo Samsis
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 2,920
- 3,388
Nakumbuka mwaka jana niliaga nyumbani kua natak kusepa nikatafte maisha
Mzee Akanambi hakun kuondoka hapa had nione assets zako
Dah nkasem poa....
Miezi miwili mbele nkapata kaz... Nje kidogo ya mji basi ndo naishi hapa
Changamoto ni kupika na kufua tu[emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1175222View attachment 1175223
Kaza man, ila hapo kimsingi basics za ghetto la kiume zipo tayari.Daaahh uu uzi ulinihamasisha niingie magetoni, saiv naishi gheto nna kama miez 5 hivi ila pako pOa voz tuko wapangaji wote ni mabachela tu. ila ndo vile vitu vingi sina c unajua mwanzo mgumuView attachment 1175214
Bless up man, nimecheka kinoma yani hapo "kulala umejifunika kama madaktari wa ebola" [emoji23]Ngoja nisimulie kidogo
Nilipopata kazi nje kidogo ya mji...... Huko nlikokua nnaenda palikua na ndugu yangu nkampgia kua nakuja uko ntaomba hifadh ya mwezi mmja kwako... Akasema poa karibu sana...... Dah asiniambia kua kaowa na yeye anakachumba kamoja.. Juma tatu yake nkasepa home mazima kuanza safari
Dah kufuka uko nkareport kituo cha kazi...... Kufika kwa huyo ndugu yangu akawakaniombea kwa(juma) jamaa mmja hivi niwe nalala kwake sababu jamaa hana mambo mengi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16](nadhan mmeelewa) .. Jamaa kiroho safi kakubari... Kwahyo Kula nkawa nakura kwa ndugu huyo ila kulala ndo kwa jamaa siku zingine ilinibidi kununua chakura(mke wa ndugu yangu yaani shemeji alikua mkaksi kishenzi dah mkali anakalipa mbaya)
Sasa kumbe juma nae halipi kodi yeye yupo anaelipa kodi. Anaelipa kodi na mzee mmja hivi ambapo juma anafanya kazi
Sasa siku moja mim niliwah kidog kutoka kazin nkapitia pale kazini kwa juma ili nkachukue funguo ......nkamkuta huyo mzee Nkamuelekez Kua nmefata funguo.... Dah mzee aliwaka kishenzi kwanini anaweka watu bila kunambia na yeye ndie anaelipa kodi!.... Wakat huo juma hakuwepo kazin.
Bas nkawa nipo tu kitaa nazulula[emoji16][emoji16]
Baada ya muda juma kanichek ananilaum why Nmemfuat pale kwake..... Kua yeye anafokewa dah mzee Nlijickia vibaya sana
Jion alipolud akanambia voxser eeeh mzee kakasilika hivyo inabid uwe unakuja kulala kwa machale... Ila Kwaku Sina hela sina namna kwahy nkkitok kazin saa 11 nazururaaaaaaa weeweeee[emoji23][emoji23][emoji51] hadi saa4[emoji3][emoji16][emoji3]
Sas Nkamwambi ndugu yangu ngoj nkatafute chumba ata cha elf kumi akasema acha mimi hiki chumba nachokaa nnahama wiki hi ijumaa utahamia (kod ilikua bado ya mwez mmja)
Kwer jamaa alihama akaniachia chumba ila sasa ntalalia nini! Ntalala nmesimama?? [emoji23][emoji23]
Akasepa akaniachia kikapeti na neti tu[emoji16]
Basi mwanaume nkalala apo daaaah nkawa naamka usiku nnakaa nipumzike afu nalala tena[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]
Basi baada ya wiki nkawa nahis mbavu mbili zimekatika..... Ila nkatia moyo had mwez ukaisha....nkanunua sufuria na gas nkawa nnapika ukifika muda wakulala Nnawaza itakuaje
Afu kulikua kunavidudu vinaitwa sungusungu heeeeeeeh sikiaga tu kikikuotea icho lazim uluke[emoji16][emoji3]siku kikaniotea kwenye P.... U... M... B.. U dah nilitoa na mchozi.... Sasa nkawa nalala na nguo kama wale madaktar wa ebola yaan hakuna sehem nyama ya mwili inaonekana[emoji3][emoji3][emoji3] Hatimae miez mi3 ikafika nkanunua kitanda ......had sasa n takriban miez kadhaaView attachment 1175235View attachment 1175237
Hahah uyo ex asituletee nuksi saiz[emoji16]Inawezekana mkuu...now najickia amani saana kila nkitoka na kurudi kwangu....nacheki movies bila bugudha...nakula nitakacho...!!japo sijafika lkn hatua nimepiga
Kkubwa ni uzima tu...Tutafika ndugu yangu
Halafu kuna Ex alinikataaga anataka kurudi...!!i mic yu nying saana...!!ukianza kujitegemea heshima lazma upateView attachment 1178299
Nikirud Tz ntakuja kukucheki, i think it will be next yearHahahaha karibu sana yan safi sana
OkyNikirud Tz ntakuja kukucheki, i think it will be next year
[emoji23] Huyo mwamba alifeli mnoooPole sana mkuu..hawa viumbe kuwahi kuishi nao geto ni shida tu
Na ni weng wanamtindo wakukimbia na vitu..hata hapa jiran kuna dem kakimbia na vitu vya jamaa vyote...mwana anarud usku anakuta geto jeupeee [emoji16][emoji16] ikabd aje kuomba mkeka
Nampaga makav....asinizoeeHahah uyo ex asituletee nuksi saiz[emoji16]
Nita-assume unaenda kusoma MU (Mzumbe University), wanachuo wengi wanapenda kuishi karibu na chuo sehemu inaitwa Changalawe maarufu kama "Chengi", bei za vyumba standard kwa mwanachuo ni kuanzia 50k na kuendelea. Kama unaishi Dar waweza drop Mzumbe chap tu ukaulizia kila kitu na jioni ukawa usharudi zako.Wazee narudi skuli mara moja mzumbe moro hivi wenyewe wanajua vyumba ni kiasi gani moro wanambie
Yeah mtoa mada anaufatilia pia uzi wake WalecUzi umenoga [emoji3]
[emoji23][emoji111]yeah yeah bro.[emoji16][emoji16] mikunjoo
Nataka nikasome uko mzee hila sihitaji kukaa hostel na vitotoNita-assume unaenda kusoma MU (Mzumbe University), wanachuo wengi wanapenda kuishi karibu na chuo sehemu inaitwa Changalawe maarufu kama "Chengi", bei za vyumba standard kwa mwanachuo ni kuanzia 50k na kuendelea. Kama unaishi Dar waweza drop Mzumbe chap tu ukaulizia kila kitu na jioni ukawa usharudi zako.
So kupitia mimi hope mtajifunza vijana wenzangu kuwa endapo utalitumia vizuri basi hakika maisha yak yatabadilika.pia la mwisho ni kumtafuta mwenza mwenye maono ila uiangukia kwa kwa hawa makahaba wa mjini utaishia kuhangaika mwisho wa siku unarudi nyumbani ukiwa na miaka 40,bila kufanya lolote
Jerrybanks
[emoji2][emoji2]Nataka nikasome uko mzee hila sihitaji kukaa hostel na vitoto
Hahahaha ndio raha ya JF ila tunajaribu kuficha identity zetuIla kwenye nyuz zingine hawa waliocoment humu wanasemaga wana majumba duh nimechoka kabisa
ach kabsa mkuuBless up man, nimecheka kinoma yani hapo "kulala umejifunika kama madaktari wa ebola" [emoji23]